Wakitoka hapo shuguli nyingine wapi maana najuwa shuguli hii itaenda mpaka 2024
Ova
Kwa wajinga woteJambo la kihistoria hili
Ndilo kombe waliloshindania 😂Kombe lenu linaitwa chakula ikulu cup
The pleasure is all mine 🙏Asante mkuu
Nimeongeza neno jipya leoView attachment 2647130
Hapo kwa dada yako unakula bure na kunya bure kodi ipi unayotoa?acha wivuKodi zetu zinatumika kiboya sana
Hujakosea kolowizardKombe lenu linaitwa chakula ikulu cup
Wivu wa nn,basi na nyie mvalisheni onyango kamba hata ya katan tumpongezeNdilo kombe waliloshindania [emoji23]
Hata hii inakuuma?
Mjinga wa kwanza ni ww uliewasha tv ya dada yako kushuhudia liveKwa wajinga wote
Mjinga mkubwa ni wewe unayeshangilia wanaume waliovishwa shanga kisha wakaenda kudoea msosi kwa mamaMjinga wa kwanza ni ww uliewasha tv ya dada yako kushuhudia live
FFF a.k.a zero brainMjinga mkubwa ni wewe unayeshangilia wanaume waliovishwa shanga kisha wakaenda kudoea msosi kwa mama
NA NDIVYO ULIVYO 😜FFF a.k.a zero brain
Kula chuma hicho.Yanga fans are fools