Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Wakitoka hapo shuguli nyingine wapi maana najuwa shuguli hii itaenda mpaka 2024

Ova

Wakimaliza kula pilau hapo, wamepewa ndege iwapeleke mbeya leo kesho wanacheza kukamilisha mzunguko wa ligi halafu wanakabidhiwa kombe lao, baadae wataalikwa chamwino ikulu dodoma ili wakamuoneshe kombe la ubingwa yaani leo walienda kuonesha medali halafu chamwino ni kombe sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…