Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?

Pity the fools.
Mwenzako anaangalia 2025
 
Kwenye dinner ya usiku huu iliyoandaliwa na Mh. Rais SSH, amesema hafurahii kuona timu zikiwa na migogoro na wachezaji kwani inarudisha nyuma maendeleo ya michezo nchini.

Ameyasema hayo aki-refer mgogoro wa Fei Toto na Yanga, huku akisema anasubiri mrejesho wa huo mgogoro ukishamalizika.

My Take: Ni aibu kwa TFF na viongozi wa timu hasa kubwa kama Yanga na Simba kushindwa kusuluhisha migogoro na wachezaji hasa wa ndani, kwani mara nyingi huwa ni kwa sababu ya maslahi.
Tunata Katiba
 
Hayo yanaitwa "maelekezo Toka juu"[emoji4]
 
Hawajali chochote kuhusu nchi its is all about power, hapo mbinu ni kuwateka washabiki wote wa Yanga ili wampiganie na kumtetea, anajaribu kila awezalo abakie, kama mnakumbuka alipoingia na kuona mambo magumu alikuja na machief akataka kuleta mambo waliotumia Wakoloni akitaka kufufua uchief ili wampiganie kikabila ikabumu sasa kaingia kwenye mpira mwisho wa siku its all about power na haina uhusiano wowote na football wakishindwa kila kitu watahamia kwenye Uislamu ni swala la muda tu, na huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania, wanaingiza hii nchi shimoni kwa uroho wa madaraka, …
Unaandika kama mtabiri ambaye Hana elimu ya utabiri

Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
 
Kwenye dinner ya usiku huu iliyoandaliwa na Mh. Rais SSH, amesema hafurahii kuona timu zikiwa na migogoro na wachezaji kwani inarudisha nyuma maendeleo ya michezo nchini.

Ameyasema hayo aki-refer mgogoro wa Fei Toto na Yanga, huku akisema anasubiri mrejesho wa huo mgogoro ukishamalizika.

My Take: Ni aibu kwa TFF na viongozi wa timu hasa kubwa kama Yanga na Simba kushindwa kusuluhisha migogoro na wachezaji hasa wa ndani, kwani mara nyingi huwa ni kwa sababu ya maslahi.
Pande zote zitadai zimeshinda ila tu zimeheshimu ushauri wa Rais. Feitoto atasema kashinda na Yanga watasema wameshinda ila wameamua kukubaliana
 
Rais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.

Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.

Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?

Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.

Cc: Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom