who is feitoto? amefanya nini na yanga?Mama mhuni wa zamani...š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
who is feitoto? amefanya nini na yanga?Mama mhuni wa zamani...š¤£
Mwenzako anaangalia 2025Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.
Closed!Kauli ya rais hadi hapo case closed.
Yaani mkiendeleza ni kana kwamba mnampinga rais.
Ishaisha hii kesi kisiasa.
Tunata KatibaKwenye dinner ya usiku huu iliyoandaliwa na Mh. Rais SSH, amesema hafurahii kuona timu zikiwa na migogoro na wachezaji kwani inarudisha nyuma maendeleo ya michezo nchini.
Ameyasema hayo aki-refer mgogoro wa Fei Toto na Yanga, huku akisema anasubiri mrejesho wa huo mgogoro ukishamalizika.
My Take: Ni aibu kwa TFF na viongozi wa timu hasa kubwa kama Yanga na Simba kushindwa kusuluhisha migogoro na wachezaji hasa wa ndani, kwani mara nyingi huwa ni kwa sababu ya maslahi.
Unaandika kama mtabiri ambaye Hana elimu ya utabiriHawajali chochote kuhusu nchi its is all about power, hapo mbinu ni kuwateka washabiki wote wa Yanga ili wampiganie na kumtetea, anajaribu kila awezalo abakie, kama mnakumbuka alipoingia na kuona mambo magumu alikuja na machief akataka kuleta mambo waliotumia Wakoloni akitaka kufufua uchief ili wampiganie kikabila ikabumu sasa kaingia kwenye mpira mwisho wa siku its all about power na haina uhusiano wowote na football wakishindwa kila kitu watahamia kwenye Uislamu ni swala la muda tu, na huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania, wanaingiza hii nchi shimoni kwa uroho wa madaraka, ā¦
Na kwa amri hii ya Mama,Yanga watakubali kuvunja mkataba na hakuna tena yale masharti ya 'Team inayokutaka ije mezani tuongee'.Hapa Fei ni mshindi,kapata support ya Mama moja kwa moja.Dogo harudi nyuma yule!
Tangu mwanzo ilitakiwa kusema tu, tunakudai kiasi hichi kama gharama ya kuvunja mkataba lipa ondoka.Kama Mh SSH amesema wamalizane na Amijei basi nawashauri Yanga wachukue tu hizo 112m wamuachie aende zake.
Pande zote zitadai zimeshinda ila tu zimeheshimu ushauri wa Rais. Feitoto atasema kashinda na Yanga watasema wameshinda ila wameamua kukubalianaKwenye dinner ya usiku huu iliyoandaliwa na Mh. Rais SSH, amesema hafurahii kuona timu zikiwa na migogoro na wachezaji kwani inarudisha nyuma maendeleo ya michezo nchini.
Ameyasema hayo aki-refer mgogoro wa Fei Toto na Yanga, huku akisema anasubiri mrejesho wa huo mgogoro ukishamalizika.
My Take: Ni aibu kwa TFF na viongozi wa timu hasa kubwa kama Yanga na Simba kushindwa kusuluhisha migogoro na wachezaji hasa wa ndani, kwani mara nyingi huwa ni kwa sababu ya maslahi.
CC: Yusuf Bakhresa
Shughuli mwenzie mswahilišš¤£Mambo ya ajabu kabisa
Wao kila siku shuguli shuguli haziishi
Ova
masai dada long time no see...Nyani ngabu shikamoo
Mimi naamini Yanga ndiyo watalazimika kama Taasisi kulinda heshima yao na ya Rais,watakubali sasa kuvunja mkataba bila mazonge waliyokuwa wqnamfanyia dogo.Feisal kurudi Yanga si rahisi.Trust me, Watazungumza na kumaliza kisha atabaki jangwani...[emoji4]
Kwenye kodi wamelegezewaSijaelewa sentesi ya Raisi kwa mfanyabiashara mdhamini wa Yanga na wenzake kuwa hawabinywi.
Ulikuwa hujui?Mama mhuni wa zamani...š¤£
Kumbe Sheria zetu zinatoa ahueni ya kodi ukiwekeza kwenye michezo? Sikufuatilia hili.Kwenye kodi wamelegezewa
Watamuachia aondokeTrust me, Watazungumza na kumaliza kisha atabaki jangwani...[emoji4]