Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Habari Wana Yanga Wenzangu, kiufupi na Mimi ni Yanga Die Hard
Sa hivi SAA Mbili Usiku wapo wanapiga Soga na Samia, wakitoka hapo wamechoka, wanaenda kuoga, wanaenda!!
Mechi ya kesho wachezaji wengi muhimu watapumzishwa kwa ajili ya Azam.

BInafsi ni die hard fan wa Yanga ila wanangu wa koma kumwanya washinde ili wasicheze play off.
 
Tangu mwanzo ilitakiwa kusema tu, tunakudai kiasi hichi kama gharama ya kuvunja mkataba lipa ondoka.
Hili umelisemea sana lakini watu hawakutaka kuelewa sababu ya ushabiki.Sasa tuone kama Yanga bado watataka kumwambia Fei team inayomtaka ije mezani baada ya maelekezo ya leo .Hapa linakwisha kwa 112M walizozikataa na dogo anasepa zake kiulaini.
 
Rais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.

Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.

Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?

Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.

Cc: Pascal Mayalla
Mbona mimi haujani tag?😡
 
Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?

Pity the fools.
long time no see, sir.,.....
 
Rais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.

Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.

Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?

Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.

Cc: Pascal Mayalla
i salute you sir
 
Hili umelisemea sana lakini watu hawakutaka kuelewa sababu ya ushabiki.Sasa tuone kama Yanga bado watataka kumwambia Fei team inayomtaka ije mezani baada ya maelekezo ya leo .Hapa linakwisha kwa 112M walizozikataa na dogo anasepa zake kiulaini.
Kabisa mkuu.
 
Matajiri hawakabwi kodi.
Unadhani Azam, MO, GSM, Azania, Sayona wanalipa kodi kwa haki?
Mkuu, mm nlitaka kujua tu kama ni kisheria au kisiasa.
 
mama nae kasharahisisha mambo, angeacha tuone yanga na fei wanavyotoana damu
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Mkuu, mm nlitaka kujua tu kama ni kisheria au kisiasa.
Wawekezaji wote hulindwa, wafanyakazi wote hukatwa kisheria, wafanyabiashara majadiliano hufanyika alipe kiasi gani
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom