Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ya kesho wachezaji wengi muhimu watapumzishwa kwa ajili ya Azam.Habari Wana Yanga Wenzangu, kiufupi na Mimi ni Yanga Die Hard
Sa hivi SAA Mbili Usiku wapo wanapiga Soga na Samia, wakitoka hapo wamechoka, wanaenda kuoga, wanaenda!!
Hili umelisemea sana lakini watu hawakutaka kuelewa sababu ya ushabiki.Sasa tuone kama Yanga bado watataka kumwambia Fei team inayomtaka ije mezani baada ya maelekezo ya leo .Hapa linakwisha kwa 112M walizozikataa na dogo anasepa zake kiulaini.Tangu mwanzo ilitakiwa kusema tu, tunakudai kiasi hichi kama gharama ya kuvunja mkataba lipa ondoka.
Mbona mimi haujani tag?😡Rais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.
Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.
Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?
Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.
Cc: Pascal Mayalla
long time no see, sir.,.....Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.
i salute you sirRais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.
Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.
Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?
Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.
Cc: Pascal Mayalla
Matajiri hawakabwi kodi.Kumbe Sheria zetu zinatoa ahueni ya kodi ukiwekeza kwenye michezo? Sikufuatilia hili.
Kabisa mkuu.Hili umelisemea sana lakini watu hawakutaka kuelewa sababu ya ushabiki.Sasa tuone kama Yanga bado watataka kumwambia Fei team inayomtaka ije mezani baada ya maelekezo ya leo .Hapa linakwisha kwa 112M walizozikataa na dogo anasepa zake kiulaini.
Hapo sasa..Mnalo limewaganda
Mkuu, mm nlitaka kujua tu kama ni kisheria au kisiasa.Matajiri hawakabwi kodi.
Unadhani Azam, MO, GSM, Azania, Sayona wanalipa kodi kwa haki?
Ametoa rai tu na si amri...Raisi anaitafutia Yanga matatizo. Maswala ya mpira hayaingiliwi na wanasiasa.
Wawekezaji wote hulindwa, wafanyakazi wote hukatwa kisheria, wafanyabiashara majadiliano hufanyika alipe kiasi ganiMkuu, mm nlitaka kujua tu kama ni kisheria au kisiasa.
Hapana mkuu, kuna nyakati inaleta maana kulimaliza kiuana michezo.Taratibu na Sheria vifuate mkondo wake.