Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Matumizi mabaya ya kodi zetu yanaendelezwa na weziKula chuma hicho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi mabaya ya kodi zetu yanaendelezwa na weziKula chuma hicho.
Mama mhuni wa zamani...🤣Mwamnyeto namuomba mbele kabisa kwenye meza ya High Table
Fei kama Fei.
Hii ni amri rasmi, baada ya kutoka mbeya feytoto ayaitwa na watakaa chini kisha mwisho wa story"Kamalizaneni na Fei toto Haipendezi"
Raisi JMT
Trust me, Watazungumza na kumaliza kisha atabaki jangwani...😊
Ile janja janja ya kukwepa kumaliza huu mgogoro imepatiwa dawa tayari"Kamalizaneni na Fei toto Haipendezi"
Raisi JMT
Dogo harudi nyuma yule!Trust me, Watazungumza na kumaliza kisha atabaki jangwani...[emoji4]
Yaani Fei atalamba matapishi yake ?.... anyway yote memaTrust me, Watazungumza na kumaliza kisha atabaki jangwani...😊
Huna tofauti na mbumbumbu in Rage's voiceNchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.