Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Asante sana kutufahamisha wananchi.Huku tuliko,tunawaonyesha na kuwasomea wananchi wenzetu,na wanaelewa.Wanasema wanaunga mkono juhudi za Rais wetu kipenzi chetu.Hata wale haters saizi wanayetemeka..
Mbarawa alisema mwezi wa Tisa magari yataanza kupita Wami itakuwa hivyo ujenzi uko hatua za mwisho [emoji116]
Asante kwa kutufahamisha.N
Ndio maana wapinzani wameamua yaishee tu maana wameona kwa Kasi hii ya mama hawawezi ambulia kitu, Ndio maana unaona hata akina mh Mbowe wanamuunga mkono mh Rais katika kuijenga Tanzania chini ya mh Rais wetu
Unagongwa bei na wajanja.Huku kwetu chungwa shilingi 50.Chungwa moja 300/=
Wewe uko wapi mkuuUnagongwa bei na wajanja.Huku kwetu chungwa shilingi 50.
Unagongwa bei na wajanja,shituka.Mh mama Samia suluhu Hassani 2025 usidanganyike kuchukua fomu utaaibika.
CCM viongozi wanakundanganya , CCM wanachama wanakusema vibaya mno.
Sabuni ya Kufulia nguo kipande ni Tsh 1,200 /=
Ccm haoUnagongwa bei na wajanja,shituka.
Niko karibu na mashamba ya michungwa,hama huko kwenye mji wa wavivu,hawalimi,wanasubiri waletewe.Wewe uko wapi mkuu
Hama mji wa wavivu,hawataki kulima hao,wanakulanguwa bei.Ccm hao
Kwenye hili acheni ushabiki, kwasababu mda Bado upo sahihisheni makosa.Huo utafiti ungeasaidia Nyie Chadomo kushida uchaguzi..
Kama huamini unataka utafiti utaupata vizuri 2025.
Yote hayo ndio mama yetu mh Rais anaendelea kuyatimiza zahanati na vituo vya Afya vinajengwa na wahudumu wanapelekwa, ndio maana unaona akitoa ajira, shule zinajengwa na walimu pia wanaajiriwa Kama ilivyofanyika majuzi hapo, maji Safi na salama pia yanapelekwa kwa wananchiKwenye hili acheni ushabiki, kwasababu mda Bado upo sahihisheni makosa.
Maafisa ugani wamepewa vitendea kazi ,je vinatumika kwa manufaa ya wanchi wa chini?
Zahanati ,Vituo vya afia ,Hospital zimejengwa sawa ,je zinatoa huduma kama ilivyo kusudiwa? Wataalam wapo?
Wana moyo wa kujituma? Dawa zinapatikana?
Kumbuka Rais Samia , sio kwamba, hafanyo kazi .Cha gamoto inayo mkabili ni uwazi uliopo ,ambao mtangulizi wake akifanikiwa kuuvidha.
Sasa basi , wasaidizi wake watoke waje na ubunifu wakutatua kero zinazo mgusa mwananchi wa chini kabisa.
Wakishindwa Hilo natabili wataturudisha Kule kwenye kufungia magazeti, kufungia radio station ,kukamata watumiaji wa social media, kuteka nakutesa wa kosoaji wa serikali.
Huo utafiti ungeasaidia Nyie Chadomo kushida uchaguzi..
Kama huamini unataka utafiti utaupata vizuri 2025.
Mkuu Chakaza , kwenye siasa hili ni jambo la kawaida sana kwa watu kufanya kitu kinachoitwa election projection, hii hata mimi nilimfanyia JPM, ile ile November 2015, niliuliza Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?Mheshimiwa Pascal Mayalla sasa ndio uamini niliposema kuwa Jamiiforum imevamiwa na watu waj.... ambao wanadhani JF ni kusanyiko la waj.... kwamba unaweza kuwaletea chochote nao wakapokea na kumeza kama kawaida.
Hii taarifa (maana sio hoja) hata angepelekewa Shaka Hamduni katibu mwenezi ataikataa moyoni kuwa ni propaganda za kitoto zisizo na kiwango kabisa.
Kuna kauli ipo pale Upendo Media kwenye tamasha lao la juzi imenitafakarisha sana, "WAZAMANI SIO WA SASA" tafakari
Uwezo gani ulionao wewe taahira..Mkuu,nimeacha kujadili na wewe baada ya kufahamu kwamba uwezo wako ni mdogo sana kuweza kujadili mambo na mimi.
Sasa sijajua ni kwanini bado unaendelea kunijibu, au pengine ni kwakuwa sikukuweka wazi ila sasa umejua.
Subiria 2025 porojo za nini?Kwenye hili acheni ushabiki, kwasababu mda Bado upo sahihisheni makosa.
Maafisa ugani wamepewa vitendea kazi ,je vinatumika kwa manufaa ya wanchi wa chini?
Zahanati ,Vituo vya afia ,Hospital zimejengwa sawa ,je zinatoa huduma kama ilivyo kusudiwa? Wataalam wapo?
Wana moyo wa kujituma? Dawa zinapatikana?
Kumbuka Rais Samia , sio kwamba, hafanyo kazi .Cha gamoto inayo mkabili ni uwazi uliopo ,ambao mtangulizi wake akifanikiwa kuuvidha.
Sasa basi , wasaidizi wake watoke waje na ubunifu wakutatua kero zinazo mgusa mwananchi wa chini kabisa.
Wakishindwa Hilo natabili wataturudisha Kule kwenye kufungia magazeti, kufungia radio station ,kukamata watumiaji wa social media, kuteka nakutesa wa kosoaji wa serikali.
Na kwa nini Bei zilingane,uliwahi ona wapi hiyo?Unagongwa bei na wajanja.Huku kwetu chungwa shilingi 50.
Uwezo gani ulionao wewe taahira..
Kama una uwezo si uwasidie Chadomo kushida uchaguzi?
Vinginevyo huo uwezo wako ni WA kutoa kimba kubwa tuu chooni.
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.
Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.
Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.
Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njefikiria o raisi kama unavyo fikiria kwani sisi wavuvi tuliodhulumiwa hatuoni licha yamali zetu kaendelea kuzishikilia hatakama anajuwa hatukuwa namakosa yoyote
Uungwaji mkono kwa mh Rais Ni mkubwa Sanaa, kwa Sasa huwaelezi kitu watanzania, hii ndio sababu ya wapinzani kupoteana maana walikuwa wanategemea mianya iliyokuwa inaachwa ndio nao wakawa wanapata upenyo wa kuisulubu serikali, lakini kwa Sasa mama ameziba mianya yote kwa kufanya kazi zinazo gusa maisha ya watuMimi nasema mkafanye utafiti muone wapiga kura wanamzungumziaje, wewe unaniletea vipicha vya propaganda.
Mimi nampenda huyo Mama ila siwezi kumdanganya, uungwaji mkono wake ni mdogo sana tena hasa kwa Wanawake.
Ni vile tu sasa hivi hatuna upinzani.
Eti kura zote? Ndoto za alnacha!Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.
Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.
Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.
Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.