Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya siku 3 Nchini Misri

Tuvute bangi kiasi au sio sehemu ya mambo yote?
maana kuacha kabisa napo si sawa.
Hizi assumption tuwe tunazipima kabla ya kuzicheua kama tulivyomezeshwa.

Wewe waandika,

Nilichoandika nimenukuu toka katika Maandiko Takatifu.

Kwa mtu aliyetimamu anajua kabisa kuwa kuna vitu ambavyo vimekatazwa kabisa kwenye maaandiko Matakatifu na hata kwenye sheria ya nchi yetu matharani hiyo bange ulotaja imekatazwa kabisa kutumika.

Kwa hiyo haina haja ya kuanza kuorodhosha exceptions hapa kwa level hii.

Yani ni sawa mfanyakazi anatakiwa kujua kuwahi kazini halafu ambiwe uwe unaoga na kupiga Mswaki asubuhi kabla ya kuja kazini.?!

Hiyo huwa inafundishwa kindergarten level.
 
ushoga ambao umekubaliwa ulaya nao kiasi inaruhusiwa,
Maandiko matakatifu yaliyo asisiwa na wa catholic ndio reference ya good and right?
Kwa hiyo usingesoma biblia ungekuwa hujui jema na baya?
Wale wanao fanya jihad kwa kigezo cha imani nao wako sahihi kisa imani imesema.
Mchungaji ndio anafikri kwa ajiri yako na bible?
 
Toka maktaba: 09June 2021

President El-Sisi Makes Phone Call with Tanzania's President




Phone Calls 09 June 2021

Wednesday, 09 June 2021 / 06:25 PM

Phone Calls
Today, President Abdel Fattah El Sisi made a phone call with President of the United Republic of Tanzania Samia Hassan.
The Spokesman for the Egyptian Presidency said that President El-Sisi congratulated the Tanzanian President once again on assuming her new position, wishing her the very best and all the success in performing her duties.

The President also confirmed the special and historical Egyptian-Tanzanian relationship as well as the development in relations seen following His Excellencyโ€™s visit to Dar es Salaam in 2017.

The President affirmed Egyptโ€™s keenness to hold talks and promote cooperation with the Tanzanian President with a view to strengthening already-robust relations in various fields in furtherance of the interests of the two brotherly peoples, especially with regard to boosting bilateral trade with Tanzania, encouraging infrastructure development, and providing technical support and capacity building.

For her part, the Tanzanian President expressed her great appreciation to the people and leadership of Egypt, noting that there are broad prospects for developing relations and promoting joint cooperation between Egypt and Tanzania. Tanzaniaโ€™s President also commended Egyptโ€™s support for the Tanzanian development efforts, especially through working on Tanzaniaโ€™s Julius Nyerere Dam project (JNHPP Stiegler's Gorge).

Setting a model reflecting the deep, distinguished Egypt-Tanzania relationship, this JNHPP project is also one of the largest national projects in Tanzania.

The Spokesman added that the call discussed the developments of the Grand Ethiopian Renaissance Dam (GERD) issue; the President stressed the need to reach a fair and legally binding agreement on the filling and operation of the dam. In this respect, it was agreed to support negotiations in order to achieve the interests of all three parties and ensure water security of the downstream countries
Source : President El-Sisi Makes Phone Call with Tanzania's President
 
Aongozane na wabunge Polepole na Bashiru na wao wakaone miji ya watu maana kwa miaka mitano walifungiwa ndani kama mabobi.

Kkkkkkkkkk
Yaani kama mimi ndio hao ningekata ticket mradi tu nisafiri
Kama ni hela mbona walikusanya sana au ni ushamba wanaogopa kupaa [emoji23]
 
This time around she should not go alone, she has to be accompanied with the Big Boyoo, our First Gentleman.
 
Misri iko mashariki ya kati.... Safari inayofuata bila shaka itakuwa huko Ghuba ya Oman. ๐Ÿค”
 
halafu cha kushangaza wanaomchukia ni wale waliomponda jpm,,na kumpogeza ssh, pale tu alipoapishwa!!
Unajidanganya mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Magufuli na ninamchukia haswa,yaani kiasi kwamba ningekuwa na mafunzo ya kijeshi ningejitoa mhanga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ