TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mhe. Rais Samia na mwenyeji wake pia wanatarajiwa kushuhudia utiaji saini mkataba mmoja (]) na hati saba (7) za makubaliano kati ya Tanzania na Misri.
She is cluelessHivi anafahamu kweli kuhusu huu mfumuko wa ghafla wa bei wa bidhaa mbalimbali na hasa zile muhimu? Au ndiyo ameamua tu kuwaachia wafanyabiashara wasio waaminifu kujiamulia vile wapendavyo!
Anashindwa hata kumwagiza Waziri mkuu/Waziri mwenye dhamana kufanya uchunguzi juu ya jambo hili! Au anafahamu kinacho endelea na hivyo ameona ni wakati wake kupuyanga kwa watu, huku wananchi wakiendelea kuumia?
Au labda tumpe Chance anaweza kubadilika.Huyo bibi ni mpumbavu sana,nimependa mchangiaji mmoja aliyesema "Mwanamke mchawi asiishi
Kamfanyaje mpaka amtokeeNyumba nyeupe hapakaliki,kajamaa kanamtokea kila leo, njia pekee ya kimsaidia ni kuhakikisha anapata safari za kila mara ndani ya miaka yake minne.
Anapitia kipindi kigumu sana,sio kwamba anapenda.
Dini ile wanapenda sana ku relax na kuzurula.Vasco Da Gama Hangaya the Second [emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 2004648View attachment 2004649
Mkuu, unaweza kukisia Per diem nje ya nchi inakuwa kiasi gani kwa PSU ?Vijana wamejenga mno watu wataanza kurogama kule PSU tutegemee misiba ya kutosha mule ndani…
Kitendo cha kubambikia watu kesi, hawezi kupata AMANI yoyote. Hiyo tabia ni mbaya na aachane nayoMkuu ukiona anasafiri ujue ni njia mojawapo ya kumpunguzia stress. Nafsi yake inamkosesha amani.
Per diem za safari za nje huwa zinalipwa kwa US dollar siochini ya Usd 500 per dayMkuu, unaweza kukisia Per diem nje ya nchi inakuwa kiasi gani kwa PSU ?
Pesa fulani hivi nzuri kwa siku, mshahara wa DC kata nusu yake halafu ibadili kutoka kwenye pesa ya madafu…Mkuu, unaweza kukisia Per diem nje ya nchi inakuwa kiasi gani kwa PSU ?
Nyumba nyeupe hapakaliki,kajamaa kanamtokea kila leo, njia pekee ya kimsaidia ni kuhakikisha anapata safari za kila mara ndani ya miaka yake minne.
Anapitia kipindi kigumu sana,sio kwamba anapenda.
Tukuombee nawe uupate UraisHata Mimi ningekuwa Rais ningekuwa nasafiri kila kukicha. Hiyo ndio Hobby yangu.
Sema sina hela tu.