wazagamba nkoko
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 389
- 998
Makamba, mmeanza kuwapunguza mahasimu wenu kwenye kinyang'anyironadhani Maskafu bado ana shida flani kichwani maana alikuwa mkubwa darasa zima anasoma na watoto basi wakawa wanampita maksi tunacheka japo alipewa ukaka mkuu na aliutendea haki.
he will understand what I say!
sote tuliamini karudia darasa si kwa umri ule yuko form four!
But we respect him and we are proud of him coz he is among of us toka special school ya kule kaskazini!!
Namshauri atoe mawazo ya urais he will make the best minister! Urais huwa hautafutwi unakuja tu kama Mungu amepanga!
mkuu huyu tumesoma nae kabisa ni Genius kweli ila labda ni ushamba flani tu unamsumbua kupewa vyeo vikubwa vimemzidi umri!Acha kuzunguka ukweli ni kwamba hana Akili pamoja na 'Doctorate' yake period.
Tena anakiburi Cha kupata,basi masikini wote anawaona Wajinga,kumbe hajui aliyempaa yeye ndiyo aliwanyima na wengine!!Kweli kabisa huyu jamaa anatuona sie ni hatunazo kichwani wakati hali halisi huku kitaa ni ngumu kuliko ugumu wenyewe
Au Ma Alizeti!!!Kolo Maskafu.
Pumbafu San jinga la taifaUnamaanisha huyu Rais wa Uchumia tumbo.View attachment 2264690
Sasa hivi anaongeza mabasi ya kichina baada ya kuifufua timu yake ya gozi la temboKwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.
Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.
Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.
Huyo mzanaki ni mzandiki sanaUjumbe wa kitoto,kilichokufanya ushindwe kumtaja huyo waziri ni nini?Huoni kama unamuongezea kazi zisizokua za lazima,
Sukuma gang mnapigika vibaya sanaKweli kwa mtindo huu......
Huyu jamaa anawaza kuchora mawe tena mabarabarani nchi nzima kama ilivyokuwa 2015.View attachment 2264674
Sukuma gang kwa sasa mnamchukia kila anaye mtaja mteuziEwe Roho Mtakatifu nakuomba unijaze 'Rehema' ili GENTAMYCINE nisimjibu hovyo huyu 'Pepo' aliyetumwa Kunikera Amina.
Maderuuumtaje kwa jina hata la utani tumjue
Mmiliki wa Ester luxuryRais wa maweni na madarajani
Wacha husuda zako wewe sukuma gangMwigulu mzee wa maskafu.
Achaneni naye huyo Mpuuzi Mwandamizi JamiiForums nzima.Uumbe murua ,nenda kijiweni mbezi utamkuta,shughulisha head yako
Kwanza katupotezea muda kuisoma mada yakeUjumbe wa kitoto,kilichokufanya ushindwe kumtaja huyo waziri ni nini?Huoni kama unamuongezea kazi zisizokua za lazima,
elboru?nadhani Maskafu bado ana shida flani kichwani maana alikuwa mkubwa darasa zima anasoma na watoto basi wakawa wanampita maksi tunacheka japo alipewa ukaka mkuu na aliutendea haki.
he will understand what I say!
sote tuliamini karudia darasa si kwa umri ule yuko form four!
But we respect him and we are proud of him coz he is among of us toka special school ya kule kaskazini!!
Namshauri atoe mawazo ya urais he will make the best minister! Urais huwa hautafutwi unakuja tu kama Mungu amepanga!
Mwigulu kamatia hapo hapo Hawa ni majizi waliozoea kula pesa Sasa Mwigulu kawabana wanajikosha kwa kujifanya wanatoa ushauri..Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.
Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.
Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.