Rais Samia tafadhali muangalie sana Waziri wako Mmoja usidhani anakunyooshea njia bali anakupeleka Shimoni mazima

Rais Samia tafadhali muangalie sana Waziri wako Mmoja usidhani anakunyooshea njia bali anakupeleka Shimoni mazima

nadhani Maskafu bado ana shida flani kichwani maana alikuwa mkubwa darasa zima anasoma na watoto basi wakawa wanampita maksi tunacheka japo alipewa ukaka mkuu na aliutendea haki.

he will understand what I say!

sote tuliamini karudia darasa si kwa umri ule yuko form four!

But we respect him and we are proud of him coz he is among of us toka special school ya kule kaskazini!!

Namshauri atoe mawazo ya urais he will make the best minister! Urais huwa hautafutwi unakuja tu kama Mungu amepanga!
Makamba, mmeanza kuwapunguza mahasimu wenu kwenye kinyang'anyiro
 
Acha kuzunguka ukweli ni kwamba hana Akili pamoja na 'Doctorate' yake period.
mkuu huyu tumesoma nae kabisa ni Genius kweli ila labda ni ushamba flani tu unamsumbua kupewa vyeo vikubwa vimemzidi umri!
He is obsessed to become the Head of State!
 
Mi nadhani Tuache Kutumiwa…
Kama Mtu kafanya Kosa,Makosa Yaainishwe hapa,
Sio Lazima Kutaja jina Lake,
Kuna watu huenda wanaumizwa na Baadhi ya Vitu ambavyo ni vya Binafsi kwao,Hivyo wanaamua Kuwatumia watu kussma wengine!
Mabaya ya Mtu yawekwe hapa wazi!
Mfano Suala 1,2,3 Kwenye Budget au Jambo fulani,
Na Sio Issues general tuu over
Cc:Meku johnthebaptist
 
Leo unawasengenya San maafisa was serekali. Umeanza na makamu rais sas HV u umeamia kwa mawaziri

Ila kweli Kuna jitu lile linajifanya mzalendo kumbe Ni manafiki kiwango Cha sgr ameharibu uchumi wa wannch na hukui anachokifanya pale mpuuuzi San na simpendi Kama kbsa lolote limpate
 
Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.

Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.

Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.
Sasa hivi anaongeza mabasi ya kichina baada ya kuifufua timu yake ya gozi la tembo
 
nadhani Maskafu bado ana shida flani kichwani maana alikuwa mkubwa darasa zima anasoma na watoto basi wakawa wanampita maksi tunacheka japo alipewa ukaka mkuu na aliutendea haki.

he will understand what I say!

sote tuliamini karudia darasa si kwa umri ule yuko form four!

But we respect him and we are proud of him coz he is among of us toka special school ya kule kaskazini!!

Namshauri atoe mawazo ya urais he will make the best minister! Urais huwa hautafutwi unakuja tu kama Mungu amepanga!
elboru?
 
Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.

Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.

Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.
Mwigulu kamatia hapo hapo Hawa ni majizi waliozoea kula pesa Sasa Mwigulu kawabana wanajikosha kwa kujifanya wanatoa ushauri..

Kama mna ushauri pelekeni Umoja Party
 
Back
Top Bottom