Rais Samia tafadhali muangalie sana Waziri wako Mmoja usidhani anakunyooshea njia bali anakupeleka Shimoni mazima

Unakuja hapa kutupotezea muda na kujaza server kwa kumung'unya maneno ili itusaidie nini sisi au huyo mama yako?! Kama huna kifua cha kufunguka wafu waelewe baki hukohuko mvunguni mwa kitanda chako huko kwenu Nakapanya! Nonsense.
You're a damn Fool.
 
Paragraph ya pili imenichekesha sana..
 
Unajya usidhani kuwa wewe una akiki kubwa kuliko samua anavyowaangalia mawazuri wake
 
Na ndo maana anatupiga kila upande ili mioyo yetu ijae.

Kama wakati mgumu sasa watz tunauona.

Jamaa kipande mia 900, hakika ana lake.
 
Sasa hivi anaongeza mabasi ya kichina baada ya kuifufua timu yake ya gozi la tembo
Possibly huu Uzi unatokana na hili, ukizingatia kuna kau "relation" uliojificha na hasimu wake mkuu kwenye futiboli yaani Uto.
Akiamini akitumbuliwa biashara imeisha.
 
Inawezekana ndiyo maana kwenye budget ijayo ameamua kupunguza ushuru wa mabasi kwa asilimia 15!! Madaraka matam,viva Esther luxury.
 
We Kim,a tangu lini ukampenda Samia mbbbbbwa wewe we si kutwa unamtukana humu?? Huo ushauri wako upeleke Chatttle kwenye mizimu yenu
 
Inawezekana ndiyo maana kwenye budget ijayo ameamua kupunguza ushuru wa mabasi kwa asilimia 15!! Madaraka matam,viva Esther luxury.


Eti kodi shilingi 3,500,000 /- tu kwa Gari moja Kwa Mwaka !
 
Kwa jina labda tuangalie wanaokaa hii mbezi ya wakubwa. Kama wapo mawaziri wengi labda tubahatishe. Labda yule aliyesema mnaona wivu na huu uwaziri niliopewa.
 
He will be rais!
Tena watoto wa mjini JK, kinana,Samia, Makama Sr and the likes ndio watakaomsogeza kwenye kiti cha urais
 
Acha upuuzi mkuu,Kila mtu mzima mwenye mapato kuanzia mil.4 na una miaka 18 lazima ulipe Kodi.
Kila mwananchi analipa kodi kupitia nyanja mbalimbali.

Mfanyabiashara analipa kupitia VAT.

Mwananchi yeyote anayenunua bidhaa popote nchini na kupewa risiti halali,tayari anakuwa amelipa kodi.

Wafanyakazi wanakatwa kodi kupitia kwenye mishahara yao.

Wakulima wananunua pembejeo na kukatwa kodi.
Lakini pia wanapouza mazao yao wanakatwa kodi.

Machinga wanalipia vitambul8sho vyao kila mwaka.

Sasa Mwigulu na hii kodi yake ya kichwa.

Na utitiri wa Tozo.

Mbona hata hatupewi mrejesho wa hizo tozo zinakoelekezwa?
 
Bila kuchukua lisiti hakuna Kodi unayolipa..

Umewahi jiuliza kwa nini wafanyabiashara hawataki kutoa risiti kama kununua tuu bidhaa unalipa Kodi?
 
Hapo huwezi kuwasikia zaidi ya wao kujiongezea posho nono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…