Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Tanzania haijawahi kuwa middle income country toka dunia hii imeumbwa.

Taarifa zilizopo ni kwamba Tanzania ilipanda kutoka lower income country na kuwa lower middle income country wakati wa jiwe. Na haijawahi kushuka

Mama afahamishwe vizuri
 
Magufuli alikuwa punguwani,hata yale magawio ulikuwa ni usanii tu.
 
UN ya wapi? Ya mtaa wa Lumumba maeneo ya Mnazimmoja?
Na zile hotuba za UN za kumsifia ameifikisha nchi uchumi wa kati nao walikuwa wanasema uwongo kwakumwogopa JPM, basi alikuwa jiwe kweli kweli!
 
Mh.Rais SSH yuko sahihi....UCHUMI WA KATI TULIOKUWEKO umeporomoka kwa sababu ya JANGA LA UVIKO 19.........

Si serikali yenye kuweza kulaumiwa....

Wala si mh.Rais SSH mwenye kulaumika....

Corona
Corona
Corona

#Siempre JMT🙏
Wakati tunaingia kulikuwa hakuna UVIKO19? mkumbuke ni Tanzania tu wakati huo kutokana na sera za JPM uchumi wake uliendelea kukua kwa chanya kinyume na mataifa mengo ya dunia...Haki yake hamwezi kuipokonya...Vitabu vimekwisha andika JPM aliingiza nchi uchumi wa kati
 
Tanzania haijawahi kuwa middle income country toka dunia hii imeumbwa.

Taarifa zilizopo ni kwamba Tanzania ilipanda kutoka lower income country na kuwa lower middle income country wakati wa jiwe. Na haijawahi kushuka

Mama afahamishwe vizuri
Samia anadanganywa wazi wazi, mtanisamehe kama na mtukana... But effect ya kufeli kwake form 4 inaonekana
 
Mh.Rais SSH yuko sahihi....UCHUMI WA KATI TULIOKUWEKO umeporomoka kwa sababu ya JANGA LA UVIKO 19.........

Si serikali yenye kuweza kulaumiwa....

Wala si mh.Rais SSH mwenye kulaumika....

Corona
Corona
Corona

#Siempre JMT🙏
Thibitisha taarifa yako kwa data na takwimu
 
Sula la JPM ni suala la muda tu kupendwa/kuchukia ni kitu cha kawaida kwa mwanadamu ila kuogopwa ni lazima kwa kiongozi.

Tutaelewana tu, tunakoenda ni kizuri tunachaana na "Ndiyo, mkuu" .
Umesema kweli hapo juu, Ila kuhusu kuondoka kwenye ndio mkuu hapo umekosea ndio kwanza mizizi inajikita.
Juzi tu Simba imeshinda waziri anasema ni jitihada za raisi
 
Nimejisikia vibaya jana nilikua namtanabahisha rafiki yangu wa Madagascar kwa kujimwambafy kwamba tupo uchumi wa kati akawa ananibishia.
Ila kwa mujibu wa WB bado tupo, hatujatolewa ila haireflect uhalisia tulionao.
 
Reactions: Ame
Mh.Rais SSH yuko sahihi....UCHUMI WA KATI TULIOKUWEKO umeporomoka kwa sababu ya JANGA LA UVIKO 19.........

Si serikali yenye kuweza kulaumiwa....

Wala si mh.Rais SSH mwenye kulaumika....

Corona
Corona
Corona

#Siempre JMT[emoji120]
Ni kweli WB wametuondoa uchumi wa Kati? I doubt
 
aiseeeeeee ukichezea bahati kamwe hairudi tena
 
Watu wanalalamika kuwa tumetoka na imekuwa siri. Na wengi ni hao hao waliokuwa wanasema sio kweli hatumo humo. Very funny 😀
Mkuu Usishangae sababu unafiki ni sifa mojawapo ya utanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…