Anajikooooo! Anajikosha! Anajikooooo, anajikosha!Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.
Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.
Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."
“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Mbona fomu za Maghufuli zilijaa makosa lakini Mahera akazipitisha kibabe na hakutaka maswali ?!.Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.
Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.
Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."
“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Wakati CCM ndio wamejaa vilazaKukosea majina ni kwa upinzani tu maccm hata mmoja hakukosea!!! 😳😳😳
unavyoongea utadhani unaijua nchi nzima vile, 2025 utaona maajabu anavyopita kwa 90%,we endelea kujidanyanya na post za kina kigogo,Sarungi na fatma Karume.Hilo doa kubwa sana kwa mziba nafsii huyu....2025 hapiti tena huyu...low IQ
Hujishangilia mwenyewe,ahakum si matusi.Mh.SSH amekiri kiutu uzima.Goli la punye mshangiliaji ni nani?
Mpinzani kugombea nchi hii ni hisani na siyo hakiDar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.
Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.
Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."
“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Ndiyo ilikuwa gia ya tume fakeKumbe anajuwa kuwa CCM walifanya makusudi[emoji57][emoji57]
Wapinzani pekee ndiyo hukosea lakini siyo CCM? Hovyo kabisaHiyo sheria ibaki hivyo hivyo, utagombeaje hujui hata kuandika majina ? Labda muundo wa tume ndio ubadilike , iwe "huru" kusema nani kakosea majina na nani kapatia🐒
Eti babu Tale naye ni Mbunge, upuuzi mtupuWakati CCM ndio wamejaa vilaza