Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Basi huko mtaani kwenu kuna MabogusSiyo uongo bali ndiye uwezo wake wa kutafakari mambo ulipo. Siyo huyu tu. Mtaani kuna vijana wengi wanaona kama Makonda ni bonge la kiongozi na kiongozi mzuri ndiyo anatakiwa kufanya hivyo. Unajua kuna watu wengi ambao bado hawajui matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nini na ni nini kifanyike kuyaondoa.
Asante mkuu. Jamaa anataka kuhalalisha risasi za Dodoma.No mkuu,ndio maana nchi zinazojielewa zinakua na mahakama na zilizo huru,makonda sio mahakama mkuu!!ni court of law pekee yenye uamuzi wa kuhukumu
Hiyo imevuka Hadi ratio ya Islaelite: Palestinian!!Nimeitoa inakopatikana.
Ndio mambo wa tz twapenda make hatujawahi kuwa serious kwenye mambo ya maanaAna mambo ya ovyo na amshaamsha za kijinga!
Wewe ukipewa mamlaka ya kuteua, kwa watu wote mil 60 unaweza mpa Bashite Mkoa? Be honest.Acha roho mbaya mzee baba.
Why not ndugu yang lazim apate nafasi.Wewe ukipewa mamlaka ya kuteua, kwa watu wote mil 60 unaweza mpa Bashite Mkoa? Be honest.
Hii kitu niliiona siku anawaapisha kina Col Abbas kuwa wakuu wa mikoa alikemea sana swala la uvaaji wa combat wakiwa ofisi za mikoa akidai wakirudi katika majukumu ya kijeshi watazivaa tu. Hakupendezwa kabisa na kauli Brg Gen Ibuge ambaye kwa sasa Maj Gen akiwa mkuu wa mkoa aliwakazia kwenye kikao then akasema mimi ni mwanajeshi.Nilichojifunza ni kwamba, Mama anatafuta wa kufanana naye zaidi. Anapenda wapole wapole zaidi siyo wale wakali.
Hapo utajifunza hata kwa Mawaziri anaowateua, hata Makamu wake. Ni wapole wasioweza kukemea na wakaogopwa.
Punguza uongo anakubalika wapi? Si ni huyo alipigwa Chini ubunge Kigamboni Tena akiwa mtoto pendwa.Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Hili ni tatizo la Tanzania nzima. Watu wengi wenye elimu za kuungaunga.Basi huko mtaani kwenu kuna Mabogus
Acha kuropoka.Ukweli ni kwamba, kila kitu duniani kina pande mbili. Kuna + na -. Wewe unapomwona mtu fulani ni muuaji wengine wanamwona mtu huyo huyo ni mkombozi kwao.
Kosa la kuua linatokana na sababu za kuua.
Kwa mfano, mtu mmoja kapewa kazi ya kununua madawa na kusambaza Nchi nzima. Badala yake yeye akanunua dawa kidogo tu au akanunua dawa zisizo na ubora unaotakiwa na kusambaza Mahospitalini.
Je, mtu wa namna hii akibainika na kuuawa, kutakuwa na kosa lolote?
Bila shaka hakuna kosa kwani yeye atakuwa ameua watu wengi zaidi kwa kukosa dawa au kwa kutumia dawa zisizo na ubora unaotakiwa.
Kwa hiyo, Issue siyo kuua bali umeua kwa sababu gani?
Hivi hapo ulipo utakuwa unaandika kwa emotion (hisia kali)hadi unalengwalengwa na machozi.You're completely finished!Siyo uongo bali ndiye uwezo wake wa kutafakari mambo ulipo. Siyo huyu tu. Mtaani kuna vijana wengi wanaona kama Makonda ni bonge la kiongozi na kiongozi mzuri ndiyo anatakiwa kufanya hivyo. Unajua kuna watu wengi ambao bado hawajui matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nini na ni nini kifanyike kuyaondoa.
Umesema ukweli mtupu utadhani uko mbele yangu, unaniangalia. Kwa hali ya nchi yetu ilivyo sasa hivi, nina haki kabisa ya kuwa kwenye hii state ya hisia kali, kulengwa lengwa machozi na completly finished! Huo ndio ukweli kwani sisi wazalendo wa kweli hatukuamini kuwa nchi yetu ingeweza kupata viongozi hovyo kama ilivyo sasa.Hivi hapo ulipo utakuwa unaandika kwa emotion (hisia kali)hadi unalengwalengwa na machozi.You're completely finished!
Pole sana.Ndiyo mikogo ya maisha.Unexpected and total stranger at home!Umesema ukweli mtupu utadhani uko mbele yangu, unaniangalia. Kwa hali ya nchi yetu ilivyo sasa hivi, nina haki kabisa ya kuwa kwenye hii state ya hisia kali, kulengwa lengwa machozi na completly finished! Huo ndio ukweli kwani sisi wazalendo wa kweli hatukuamini kuwa nchi yetu ingeweza kupata viongozi hovyo kama ilivyo sasa.
No research no right to speak.Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Mkuu tuna haki ya ku disagree,kangaroos courts hazina nafasi hapa kwetu,ila push back ni muhimuSawa, lakini sometimes ni bora zaidi mambo yote Yakamalizika papo kwa papo kuliko kusubiri mahakama.
Kwa mfano, unakuta Kiongozi fulani kafanya ujinga wa hali ya juu, kwa hiyo badala ya kukimbilia mahakamani ni bora zaidi kumtandika Makonde papo hapo.
Au, unakuta mwizi yupo kubomoa nyumba yako, utakwenda kwanza mahakamani kumshtaki au utaanza kupambana naye kwanza.
Siasa siyo makelele ya wendawazimu. Siasa ni akili na mikakati.Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Papa wa AcademiaHuo ndio ukweli. Makala hashtui. Amepoaaa Aliye mteua naye kamopaa. Sema ametafuta wakufanana naye
Labda unatamani yale matako ya Makonda si kingine we bwege.Huo ndio ukweli. Makala hashtui. Amepoaaa Aliye mteua naye kamopaa. Sema ametafuta wakufanana naye
Amka mzee baba, hizo zilikuwa mbinu tuu.Punguza uongo anakubalika wapi? Si ni huyo alipigwa Chini ubunge Kigamboni Tena akiwa mtoto pendwa.