Wewe uzuri wa makobda ni amsha amsha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]Makonda ana mambo ya ovyo.....ila kiusema kweli ana amasha amsha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajua kujitrendisha huku hacheki kama sio yeye.
Angeacha uropokaji na kujivisha madaraka, misafara ya kukera .....naona alikua vyema.
Au nasema uongo wanaccm wenzangu??!!
Uliowataja wanafanyiwa kazi nzito na mwenezi . Kama ni barabara basi huyo ni buldoza. Wewe unataka kutudanganya tubaki na F M. ili mjinafasi. Waliogopa mdahalo wakatoa visingizio ya katiba mpyaSiasa siyo makelele ya wendawazimu. Siasa ni akili na mikakati.
Kwa hiyo hata Nchimbi na Mwenyekiti wa CCM wote hawafai?
Mnataka Chamani wakazwe akina Makonda, Bashite, baba Levo, na wengineo wa aina hiyo?
Sasa sisi watz tupo serious na nini??? Hebu kuwa mkweli??? Hayo ya kina makonda ndo tunayaweza na kuyapendaWewe uzuri wa makobda ni amsha amsha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]
Watanzania Tumelogwa na nani sjui.
Yaani kichaa akipita mtaani anapiga kelele basi huyo mnamuona ni bonge la amsha amsha[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Msoga gang!Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Kwa hakika unao upungufu wa uelewa wa kinachoendelea Tanzania.Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
mI naona hata 1:100 haitoshi! Leo wanakusanyana wote wateuliwa lakini hakuna anae hangaika nao! Hata ofisini kwetu hapa hakuna kabisa hata aliyeulizia kuhusu Makala!Hiyo ratio ya 1:50 umeitoa wapi?
Si anakwenda Arusha, wanamuulizia huko?mI naona hata 1:100 haitoshi! Leo wanakusanyana wote wateuliwa lakini hakuna anae hangaika nao! Hata ofisini kwetu hapa hakuna kabisa hata aliyeulizia kuhusu Makala!
Hakuna mwenye akili anayemkubali Makonda.Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Kama wale Wakurugenzi waliokuwa wanadaiwa hela na Wakandarasi na hawajalipa bila sababu za msingi,sasa hiyo nayo ni issue ya kwenda mahakamani!!Sawa, lakini sometimes ni bora zaidi mambo yote Yakamalizika papo kwa papo kuliko kusubiri mahakama.
Kwa mfano, unakuta Kiongozi fulani kafanya ujinga wa hali ya juu, kwa hiyo badala ya kukimbilia mahakamani ni bora zaidi kumtandika Makonde papo hapo.
Au, unakuta mwizi yupo kubomoa nyumba yako, utakwenda kwanza mahakamani kumshtaki au utaanza kupambana naye kwanza.
Sawa wenye akili kaja Makala mwenye akili,ngoja tuone!!Makonda anakubalikana wajinga tu,wenye akili tunamuona mbwiga tu,hata JPM alishamstukia ni mbwiga
Yaani ukishaona mtu anajiita mtoto wa mjini ujue kabisa hakuna kitu hapo! Ujinga ujinga tu usiona na kichwa wala miguu! Sasa Makala ina maana hata Naibu Waziri Mkuu,Waziri mkuu na Makamu wa Rais wanawatukana maana wote ni watu wa kijijini!Yule makala akienda hata kkoo aitishe mkutano wa chama sijui nani ataenda kumsikiliza makonda akiibuka kkoo watu wakajua mwamba yupo pande furani anaweza kuondoka na kijiji.Leo wanajiita watoto wa mjini sijui kuzaliwa dar ndo kuna faida gani.
Makonda ana mambo ya ovyo.....ila kiusema kweli ana amasha amsha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajua kujitrendisha huku hacheki kama sio yeye.
Angeacha uropokaji na kujivisha madaraka, misafara ya kukera .....naona alikua vyema.
Au nasema uongo wanaccm wenzangu??!!
Hakuna mwenye akili anayemkubali Makonda.
Kumwona muuaji, mtekaji, mpotezaji watu na mporaji, ni binadamu afaaye kuwa kiongozi, ni lazima uwe huna akili kabisa.
Hi
Hiyo ndo maana yake. Tupo Watanzania wengi mno tunaomwamini Makonda. Huo ndo ukweli na utawatesa sana
Yule makala akienda hata kkoo aitishe mkutano wa chama sijui nani ataenda kumsikiliza makonda akiibuka kkoo watu wakajua mwamba yupo pande furani anaweza kuondoka na kijiji.Leo wanajiita watoto wa mjini sijui kuzaliwa dar ndo kuna faida gani.
Na wewe kuwa mwovu ujulikane! Tulishawaambia kama mna ushadi nendeni Mahakamani tofauti na hapo ni makelele tu! Mfano Sasa hivi Wamasai kule Ngorongoro wanapitia masaibu makali sana ila mlivyo wanafiki hamuwezi kuongelea kazi yenu ni kuongelea uovu na makosa uchwara ya JPM na Makonda!Leo hii atokee Hitler, wapo watu watatoka hata nje ya Ujerumani kwenda kumwona.
Kwa kawaida mtu mwovu husikika na kujulikana sana kuliko wanadamu wema.
Kwa mara nyingine tena sukuma gang mmeshikwa makalioKumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.