Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Alikuwa hawajui ?

Kwamba yeye ni Alien yaani ni mgeni hapa duniani ndio kwanza ameshuka katika hii sayari ndio anajifunza na kuwaelewa watu ? Hii orientation itamalizika lini sababu siku zinasonga....
 
Your browser is not able to display this video.
 
Yes who authorized the invoice ? Is he/she unknown ? That's the question and madam president said watupishe watupishe yaan watoke hao wapigaji waishie kunawa tu hakuna kula
This is the most surprising saga in Tanzania you can steal with impunity???
 
Alafu mwizi wa kuku anafungwa miaka 6 jela stupid kabisa
 
Amewahi kumtukana prof Adolf Mkenda akiwa waziri wa kilimo mbele ya Rais Mseven hivo hivo " stupid"


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yuko soft sana.
Haitoshi kusema watupishe angesema tukutane mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…