Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
H
Huo ni uzushi ambao hauna substance. Mmesingizia kuna hela nyingi imefichwa china, haya semeni ni kiasi gani mnajamba jamba tu. Mnasikiliza porojo za Zitto Kabwe a kisiasa ambaye hakuwa na ulaji kipindi cha JPM.Kiwango kilichopita 1.5 trillion go figure??!!