Kuna wakati alisemaLeo Rais Samia amekasirishwa sana na hotuba ya wizi wa mali za umma baada ya uwasilishaji wa CAG na TAKUKURU ikabidi aseme pumbavu na kisha kurudi na Kingereza 'stupid'.
Sikuwahi kujua kama ipo siku moja Rais Samia Suluhu Hassan awe na hasira kali kama hizi.
USSR
Mnapenda sana matamkoEnhee hotuba kamaliza? Mpaka alipo fikia mwisho wa hotuba yake katoa tamko gani zito kudhiirisha kweli kachukukia?!? Au tuendelee kuibiwa tu maana milango imegoma kufungika?
Kuna wakati huwa najiuliza haya hadi kichwa kinataka kupasuka.Naomba kuuliza hivi TAKUKURU na watu wa intelligence hawawezi zuia haya mambo Hadi waache wizi umefanyika?
Wanaokula kwa urefu wa kamba ni wajinga wakati wengine kamba zao zinadondokea kwenye 10% wafanyaje?Kuna wakati alisema
Mijitu mijinga
Huna akili ni sawa na kusema ,gari zuri bila dereva mzuriTanzania inahitaji mfumo imara katika sekta zake zote. Na siyo mtawala mkali na mwenye mihemko kama alivyokuwa Magufuli. Mfumo imara katika nchi, ni rahisi kudhibiti upigaji kama huu.
CAG ndie mkaguzi mkuu hawa wengine hawana idhini ya ukaguzi bila taarifa, elewa kwanza maana ya CAG na TAKUKURU na tofauti zao bila kuelewa huwezi pata jibu la swali lakoSasa tuna vyombo vingi vya kufuatilia mienendo yote ya manunuzi lakini utakuta wapo kimya hadi CAG agundue ndo wanajifanya kufuatilia.
Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.
Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.
==============
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.
Sasa urefu wa kamba maana yake ni kula nje ya unachostahili?Aliwaruhusu wale kwa urefu wa kamba
Mama usicheke na kima, fukuza wote ujenge heshima na kuaminiwa zaidi na Watanzania.
Endelea kusubiri awataje nimekaa pale akiwataja niite umbwaHii lazima itawaondoa wengi sana.. Ngoja tuone, maana Mh. Rais wetu asipowataja kwa majina, hawataachia nafasi zao hata iweje, mpaka awafukuze yeye mwenyewe.
Wewe ndiyo zero kabisa.Huyo hata afukuze wote mpaka mumewe hamna mwenye akili atamuelewa.
Kiongozi mkuu wa nchi kusimama hadharani na kuelekeza walio chini yake namna wanapaswa kula (kuiba) ulikuwa udhaifu mkubwa sana kiutendaji na kupitia udhaifu huo nchi itaumia sana.
Sasa urefu wa kamba maana yake ni kula nje ya unachostahili?
Mbona Watanzania wengi ni weupe kichwani ku reason mambo?
Ukiajiriwa kama muhasibu halmashauri maana yake ule kwa urefu wa kamba yako kwa mshahara huo usitake kula zaidi ya unachostahili. Simple like that.
Hata ule usemi kwamba "Kila mbuzi anakula kutokana na urefu wa kamba yake" una apply hapa kwasababu kama mbuzi amefungwa kwa kamba fupi atakula majani anayoyafikia tu na yule mwenye kamba ndefu hali kadhalika atakula kingi zaidi.
Yani mkuu watu wanageuza maana ndo wanaona wako sawa. Alimaanisha upate kile ambacho unasitahili kulingana na kazi yako lakini si kwa kuiba mali ya umma.Kwani kula Kwa urefu wa kamba Yako ni Kuiba? Wewe si una Ajira ndio urefu wako au? Kuiba kwani si ndio kuvuka mipaka?
Wewe hao kwako ndo umewaona watakatifu?Unaondoa watu kama kina Kabudi, Lukuvi, Kalemani alafu unaweka yake mataktaka?
Mav. i matupu
Kwanini awatahadharishe wasile hadi wakavimbiwa.Wewe ndiyo zero kabisa.
Kwamba Rais kusema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake maana yake wewe ukatafsiri kwamba waibe?
Wewe ukiajiriwa kama mwalimu unatakiwa ule kile unachostahili na uridhike nacho na sio vinginevyo.
Sasa ukiridhika na mshahara wa ualimu wa shule ya msingi na kuacha kutamani wa sekondari si ndiyo umekula kutokana ma urefu wa kamba yako?
Yes upo sahihi mkuu, kasema tu watupishe wapungue maana idadi ya walaji ni kubwa, sasa nani yupo tayari kukosa vibunda nani atapungua bila kupunguzwa?Kasema tu, ajafukuza mtu