Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Hivi kweli from 37 to 86$ kweli? Hapana aisee, viongozi wa hili taifa kuweni na huruma wananchi wanaishi kwenye tope la ufukara.

Ndege haiwezi kupanda bei kiasi hiki sema tu hawa wajuba wamemzoea Rais kupita kiasi jamani, inafika wakati unajiuliza nchi yetu inaenda wapi?

Kwa mfumo huu kama mwalimu anapewa laki tatu anaoga vumbi la chokaa la kutosha huku kiongozi anatembelea VXR V8 ya millioni mia saba, anapiga pesa za umma millions of dollars halafu akija anasema CCM oyeeeee! [emoji22]
 
.
1680096696699.jpg
 
Kumbeee!

Kwani pesa ya kustaafu ni sh ngapi kulinganisha na zilizogawanwa?

Bila kufungwa jela! Ni bora kuiibia serikali
 
Huku tozo,TRA kukimbizana na wafanyabiashara,shule hazina madawati,Mishahara ya watumishi wa umma kilio.

NB HAO HAO WAPUUZI ukiwasikiliza majukwaani wanakwambia vijana mjiajiri,shenzi type
 
Akubali sasa kutengeneza mifumo imara ya kuwabana watu wa aina hiyo. Kinyume na hapo, kila kiongozi atakayekuja, ataishia tu kupiga kelele na kutukana; halafu upigaji utaendelea kuwepo nchini kama kawaida.
Samia atatengeneza maana no way out utasimamia rasilimali za Nchi kutokea Magogoni.
 
Akubali sasa kutengeneza mifumo imara ya kuwabana watu wa aina hiyo. Kinyume na hapo, kila kiongozi atakayekuja, ataishia tu kupiga kelele na kutukana; halafu upigaji utaendelea kuwepo nchini kama kawaida.
Hivi wakati jeshi la mtu mmoja akiona vitu kama hivi kuna wakati alikuwa anafurusha watu kwa uzembe, vipi ile haikuwa sawa ili Bimkubwa naye achukue hatua kama zile?.
 
Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo.

Nadhani Sasa mh.Rais ameanza kuwafahamu Watanzania.

Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.

Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome..

Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta..

Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.

----
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.

Sukuma ndani hao kuwafukuza tu haitoshi cio hao tu ripoti ya CAG inaonyesha jinsi gan kodi zetu na tozo zetu zinavyotafunwa bila huruma ushahidi wa CAG unatosha kuwafikisha lupango wahusika lkn suruhisho ya hayo yote ni katiba mpya tu ccm janga la kitaifa
 
Mimi nadhani raisi Samia yawezekana kabisa ana nia njema ya kuwa raisi wa Tanzania.

Hili suala la kuongezwa fedha za malipo kutoka 37 kwenda 86 ni wizi.

Mheshimiwa raisi angewatoa mfano wale wote walohusika na hiyo invoice na wamalizane hukohuko.

Hii haihusu kisasi, wala roho mbaya wala ukatili bali ni aina ya maisha ambayo baadhi ya wasaidizi wake na watendaji wakata wawe wanaishi hivyo ni lazima raisi Samia aache kucheka na nyani.

Raisi Samia ana ufahamu mkubwa wa matatizo ya nchi hii ambayo yote yalielezwa kwa kina na mtangulizi wake hayati JPM.

Asicheke kabisa na wezi na wabadhilifu wa mali ya umma.
Kwenye SGR na kwenye bwawa rufiji pesa imeongezwa pia Ila huko wapo kimya
 
Hivi wakati jeshi la mtu mmoja akiona vitu kama hivi kuna wakati alikuwa anafurusha watu kwa uzembe, vipi ile haikuwa sawa ili Bimkubwa naye achukue hatua kama zile?.
Tanzania inahitaji mfumo imara katika sekta zake zote. Na siyo mtawala mkali na mwenye mihemko kama alivyokuwa Magufuli. Mfumo imara katika nchi, ni rahisi kudhibiti upigaji kama huu.
 
Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.

Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.

Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.

==============

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.

Watapisha tu wenyewe pasipo kuwajibishwa? Tuna Rais wa ajabu kabisa kuwahi kutokea
 
Akubali sasa kutengeneza mifumo imara ya kudhibiti na kuwabana watu wa aina hiyo. Kinyume na hapo, kila kiongozi atakayekuja, ataishia tu kupiga kelele na kutukana; halafu upigaji utaendelea kuwepo nchini kama kawaida.
Kateua watu wengi wenye maGodfather, hakuna atayeweza kumgusa.
 
Back
Top Bottom