Nina mambo Matatu.

1. Mwinyi RIP
2. Naona Awamu ya Sita itakuwa ya mwisho Kuwa na wastaafu..
3. Naombea Mazishi Yafanyike Mkuranga Pwani. Wiki iliyopita niliona barabara inachongwa. Je Akizikwa Pwani Atakuwa ameua Muungano?
Hawajamtendea haki kwenda kumzika unguja wakati kwao ni hapo mkuranga.
 
Mzee Mwinyi alikuwa ni Rafiki wa Watu Wote hivyo Watu waachwe wakamzike pasiwepo CHAWA vimbelembele waliojaa Unafiki

Tunategemea Kaswida ziwepo na Siyo hawa Wasanii wetu wa Kampeni

RIP mzee Rukhsa
 
Wasisahau kuzingatia wasia wake juu ya namna ya kumuhifadhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…