Eee Allaah, Mghufurie na Mrehemu, na Muafu na Msamehe na Mtukuze kushuka kwake (kaburini) na Mpanulie kuingia kwake, na Muoshe na maji na kwa theluji na barafu na mtakase na makosa kama inavyotakaswa nguo nyeupe kutokana na uchafu, na Mbadilishie nyumba bora kuliko nyumba yake na jamaa bora kuliko jamaa zake, na mke bora kuliko mke wake, na Muingize Jannah na Mkinge na adhabu ya kaburi (na adhabu ya Moto)[1]
 
Allah ampe kauli thabiti amuondolee adhabu za kabri nenda mzee mwinyi mwambie mjomba Magu kinu no 9 kimewashwa!
 
Nye Nyerere alitariki 1999 ambayo sio leap year.
Magufuli alitariki 2021 ambao sio leap year.
 
Naomba unisamehe na wote mnisamehe sanaa .niliandika kabla yakutagazwa kwa kifo cha mzee wetu.ndio maana nimerudi kurekebisha haraka sana baada ya kupata taarifa za huzuni kwa Taifa letu juu ya msiba wa mzee wetu.naomba mnisamehe sana
How old are you?
 
Niungane na watanzania wenzangu kuomboleza msiba wa rais wetu mstaafu
 
Mkuu mbona unaandika mambo yasiohusiana na thread

Uzi unaongelea msiba wa Rais Mstaafu Mwinyi,Wewe unaongelea habari za Samia

Are u mentally ok?

Kuna wakati kama huna cha kuongea ni heri ukanywa maji na kulala
Njaa mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…