Kwaheri ya kutoonana tena Ali Hassan Mwinyi
 
Tuko na moja ya chama na serikali yenye ufisadi zaidi duniani. Na kila mtu anavumilia hilo.

Na mara tu mwanasiasa mwaminifu anapoonekana, kila mtu anaanza kumshambulia kwa mambo madogo ambayo hayana faida yoyote sababu hatuna ujasiri wa kweli wa kusimama imara.

Wakubwa wanatetea maslahi yao binafasi, wadogo wanafuata mkumbo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka nimeona aibu. Huna uchungu hata na msiba wa mzee Mwinyi ? Umemsifiaa samia mwanzo mwisho bila hata kumkumbuka marehemu kwa mazuri yake. Kweli pepo ngumu machawa mna kazi.
Njaa mbaya usiombe ikakukuta. UTU wote unaisha🤣
 
Ally promo mpaka misibani?[emoji848][emoji2827]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…