Ndio namaanisha wale wote waliozaliwa mwaka alioingia madarakani 1985 mpk anamaliza 1995...kwahyo hapo ww ujitafute sasa..utakua na ww upo humo..maisha yalikua mazuri..hakuna magonjwa magonjwa..tulicheza kama watoto kwa ushirikiano mtaa kwa mtaa..mzazi wa mwingine alikua mzazi kwa mtoto yoyote...hivyo yaniiEbu fafanua vizuri...nimezaliwa pia enzi za mwinyi kati ya 90-93🤣🤣🤣
Kumtengenezea Hussein Mazingira mazuri ya kisiasa. Angezikwa Mkuranga Hussein angekua na hali ngumu mwakaniNaona anaenda kuzikwa Unguja, wakati awali inasemekana alisema azikwe Mkuranga......au ni backup ya Hussein
Niogope kwa uhalifu gani niliofanya wizo 🤣🤣Ila wee wizoo huogopiii.
Wanapokezana kazi ya kutangaza Misiba tuAwamu ya 5 na nusu watu wanasepa simchezo
Leo. Chakufarahisha kwake ameondoka ktk dunia akiwa islamkafa lini??
100? 😳pumzika kwa amani rais mstaafu ali hassan mwinyi dunia itakukumbuka kwa kuibadilisha Tanzania kutoka kwenye mfumo wa ujamaa na kujitegemea hadi mfumo wa ubepari.
Ni wewe ndio uliye ifanya Tanzania ikakua kiuchumi mpaka sasa ilipo bila maono yako Tanzania isingekuwa hivi
Nb.rais mwinyi alizaliwa mkurang, pwani Tanganyika mwaka 1924 na amefariki leo tarehe 29/2/2024
R.i.p
Hata Mimi nilishuku hili. Kwa nini asizikwe kwenye malalo ya wazazi wake?Kumtengenezea Hussein Mazingira mazuri ya kisiasa. Angezikwa Mkuranga Hussein angekua na hali ngumu mwakani
Wamemkosea sana. Kwani Mkuranga hakuna Wazee? Mbona wanazidiwa nguvu na Wazee wa ZanziberiHata Mimi nilishuku hili. Kwa nini asizikwe kwenye malalo ya wazazi wake?
Unafki ndio kipindi chenu wana mbogambogaKiukweli Demokrasia ya Vyama Vingi ilijengwa na Mzee Mwinyi japo baadae waliomfatia waliichakachua
Hapa Iringa tulipata Mbunge wa NCCR mageuzi Mwalimu wangu Kibasa
Wewe utamkumbuka kwa lipi?
Mungu wa mbinguni mrehemu Mzee Mwinyi
Punguza speedDuh aiseee
Hapana sisi tutaishi maisha marefu lo
Kula chochoteMzee ruksa