Ebu fafanua vizuri...nimezaliwa pia enzi za mwinyi kati ya 90-93🤣🤣🤣
Ndio namaanisha wale wote waliozaliwa mwaka alioingia madarakani 1985 mpk anamaliza 1995...kwahyo hapo ww ujitafute sasa..utakua na ww upo humo..maisha yalikua mazuri..hakuna magonjwa magonjwa..tulicheza kama watoto kwa ushirikiano mtaa kwa mtaa..mzazi wa mwingine alikua mzazi kwa mtoto yoyote...hivyo yanii
 
100? 😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…