Kiukweli Demokrasia ya Vyama Vingi ilijengwa na Mzee Mwinyi japo baadae waliomfatia waliichakachua

Hapa Iringa tulipata Mbunge wa NCCR mageuzi Mwalimu wangu Kibasa

Wewe utamkumbuka kwa lipi?

Mungu wa mbinguni mrehemu Mzee Mwinyi
Kumbe umesoma Mwembetogwa....Kuna toto moja la kiburushi mashallah lilikuwa linakaa wilolesi...miaka hiyo.
 
"Mwinyi was born on 8 May 1925 in the village of Kivure, Pwani Region, where he was also raised.[4] He then moved to Zanzibar and got his primary education at Mangapwani Primary School in Mangapwani, Zanzibar West Region. Mwinyi then attended Mikindani Dole Secondary School in Dole, Zanzibar West Region.[5] From 1945 to 1964 he worked successively as a tutor, teacher, and head teacher at various schools before deciding to enter national politics".
 
Mtu wa kwanza kuuza wanyama pori hai uarabuni
Rais wa kwanza kukuruhusu kupoza maji kwny fridge bila ya hofu ya kuonekana kabaila wala Mhujumu Uchumi

Huyu ndie binadamu wa kwanza kuamuru kuondoa marufuku ya Watanzania kutembelea Nchi kadhaa ambazo hapo awali zilipigwa marufuku kwny hati za kusafiria kwa sababu za kihafidhina
 
Mzee Mwinyi alikuwa ni Rafiki wa Watu Wote hivyo Watu waachwe wakamzike pasiwepo CHAWA vimbelembele waliojaa Unafiki

Tunategemea Kaswida ziwepo na Siyo hawa Wasanii wetu wa Kampeni

RIP mzee Rukhsa
Mzee wetu azikwe mahali pachimbuko lake (Tanganyika)
 
Wa
Wamejichanganya kuchelewesha kuutangaza, ndicho kitatokea hicho 😌
 
Daah R.I.P kwake kaula sana miaka 100 sio mchezo..

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…