Kumbe umesoma Mwembetogwa....Kuna toto moja la kiburushi mashallah lilikuwa linakaa wilolesi...miaka hiyo.Kiukweli Demokrasia ya Vyama Vingi ilijengwa na Mzee Mwinyi japo baadae waliomfatia waliichakachua
Hapa Iringa tulipata Mbunge wa NCCR mageuzi Mwalimu wangu Kibasa
Wewe utamkumbuka kwa lipi?
Mungu wa mbinguni mrehemu Mzee Mwinyi
Mpaka October 2025 watabakia wachache snWanapokezana kazi ya kutangaza Misiba tu
Ndolanga alikuwa KONTAWAHapa Arusha tunamkumbuka kwa kuuza Loliondo akishirikiana na Muhidin Ndolanga
Amenifundisha Chemistry pale The Highlands Sec School kabla Mwembetogwa haijaanzishwaKumbe umesoma Mwembetogwa....Kuna toto moja la kiburushi mashallah lilikuwa linakaa wilolesi...miaka hiyo.
"Mwinyi was born on 8 May 1925 in the village of Kivure, Pwani Region, where he was also raised.[4] He then moved to Zanzibar and got his primary education at Mangapwani Primary School in Mangapwani, Zanzibar West Region. Mwinyi then attended Mikindani Dole Secondary School in Dole, Zanzibar West Region.[5] From 1945 to 1964 he worked successively as a tutor, teacher, and head teacher at various schools before deciding to enter national politics".Rais mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amefariki leo, Februari 29, 2024 saa 11:30 Jioni katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu ya ugonjwa wa Saratani ya Mapafu.
Tangu Novemba 2023, alikuwa anapatiwa matibabu huko London, Uingereza na baadaye kurejeshwa nchini kuendelea na Matibabu katika hospitali ya Mzena hadi leo ambapo amepatwa na mauti.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo kuanzia Machi 1, 2024, bendera zitapepea nusu mlingoti.
Atazikwa Machi 2, 2024 Unguja, Zanzibar.
View attachment 2920484
Taarifa za kuugua kwake, soma: Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua
Bila shaka umesoma enzi za SheikhAmenifundisha Chemistry pale The Highlands Sec School kabla Mwembetogwa haijaanzishwa
Nyimbo kwenye msiba wa kiislam?Msechu na Mpoto najua usiku huu au kesho asubuhi kabla ya saa sita mchana watakuwa tayari wameshatoa nyimbo zao walizo rekodi.
Apumzike panapo stahili.
Rais wa kwanza kukuruhusu kupoza maji kwny fridge bila ya hofu ya kuonekana kabaila wala Mhujumu UchumiMtu wa kwanza kuuza wanyama pori hai uarabuni
Hakika akisaidiwa na ChaudryBila shaka umesoma enzi za Sheikh
Mzee wetu azikwe mahali pachimbuko lake (Tanganyika)Mzee Mwinyi alikuwa ni Rafiki wa Watu Wote hivyo Watu waachwe wakamzike pasiwepo CHAWA vimbelembele waliojaa Unafiki
Tunategemea Kaswida ziwepo na Siyo hawa Wasanii wetu wa Kampeni
RIP mzee Rukhsa
Wamejichanganya kuchelewesha kuutangaza, ndicho kitatokea hicho 😌MSIBA MZITO Kwa Taifa.
Rais Mstaafu wa JMT.
Baba mzazi wa M.Kiti wa Baraza la Mapinduzi.
Mkuu wa chuo bora cha Afya Tanzania (Muhimbili).
Siku ya kukumbuka kifo chake itakuwa kila baada ya miaka minne ... (Miaka yenye mwezi wa pili wenye siku 29 tu)
View attachment 2920492
Hii picha ili trend kipindi cha msiba wa Rais John Pombe.
pumzika kwa amani rais mstaafu ali hassan mwinyi dunia itakukumbuka kwa kuibadilisha Tanzania kutoka kwenye mfumo wa ujamaa na kujitegemea hadi mfumo wa ubepari.
Ni wewe ndio uliye ifanya Tanzania ikakua kiuchumi mpaka sasa ilipo bila maono yako Tanzania isingekuwa hivi
Nb.rais mwinyi alizaliwa mkurang, pwani Tanganyika mwaka 1924 na amefariki leo tarehe 29/2/2024
R.i.p
kwanini si Kweli Magufuli alitawala milele ? au hujui maana ya mileleHahahaa mwanademokrasia gani anataka jiwe atawale milele hata Mwalimu asingetoa kauli ya KICHAWA kama ile pamoja na ujamaa wake.