Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana Bwana ..........Walisema mzee aliacha wosia wake kuwa azikwe kwao Mkuranga; imekuwaje watoto wamedharau matakwa ya marehemu?
Kuna athari gani kwa familia wanapokiuka matakwa ya marehemu kama yalivyoainishwa kwenye wasia wake?
Muungano kwanzaWalisema mzee aliacha wosia wake kuwa azikwe kwao Mkuranga; imekuwaje watoto wamedharau matakwa ya marehemu?
Kuna athari gani kwa familia wanapokiuka matakwa ya marehemu kama yalivyoainishwa kwenye wasia wake?
Halafu ninyi ni "Wazuri Hamfagi"Sisi waislamu huwa hatuagi.....,
Tuko kwenye majonzi tusifike hukoHalafu ninyi ni "Wazuri Hamfagi"
Leo umesahau kuweka tuma kwenye namba hii!Apumzike kwa amani mzee wetu.hana deni kwa watanzania maana alifanya kila kitu kilicho ndani ya uwezo wake katika kuwaondoa watanzania katika dimbwi la umaskini..lala salama mzee wetu kazi umeimaliza na uliwatendea haki watanzania wote kwa kugusa maisha ya kila mtu..
Siyo Mkuranga tena?kuelekea kwao Zanzibar kwa Mazishi yaliyopangwa kufanyika Tarehe 2 March.
Protocal za kiserikali haziangalii diniSisi waislamu huwa hatuagi.....,
Hakika,apumzike salamapumzika kwa amani mzee wetu