Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuona! Anza kuwakubali Israel sasa. Kama wamemaliza Raisi, hamas ni kitu gani? Naona mwisho wa vita kati ya marafiki zako na wayahudi inakaribia mwisho. Na useme Amennaam.mkiristo akifa ni hasara kwake
Kwamba hauna mfano wa matatizo yaliyotengenezwa kuwapata watu wema?Kifo sio adhabu kwa watenda maovu kwasababu hata wema watakufa, ila matatizo yanaweza kuwa adhabu as long as yametengenezwa.
Duh kafariki huyo na wenzie
Acha vichekesho bana. Mungu wa Israel ni mkuu sana.Inasemekana baadhi ya wahanga kwenye ajali hiyo wameweza kuwasiliana na wenye mamlaka
Hivyo kuna matumaini kuwa huenda hakuna vifo kwenye ajali hiyo
Habari zaidi zitatolewa na vyombo vyenye mamlaka vya Iran
Kwani marekani haijawahi kupotea ndege?Tunazungumzia Taifa kubwa la Iran 🐼
Basi acheni UPUMBAVU.ajali utokea kwa mtu yoyote. Israel wangetamani kumuia ila huo uwezo hawanaWee wakuthibitishie kama nani covert op
kwani Isrel ndio wanaua? bibi yako akuliwa na Isreal? wewe utakufa kutokana na Israel? Mandela kafa kwa Isreal? acha wehu huo? hao majeshi ya Isreal wanauana wenyewe kwa wenyewe? Kila nafsi itakufaNimekuona! Anza kuwakubali Israel sasa. Kama wamemaliza Raisi, hamas ni kitu gani? Naona mwisho wa vita kati ya marafiki zako na wayahudi inakaribia mwisho. Na useme Amen
Hakuna jambo lolote duniani linalotokea kwa bahati mbaya. Hata ukijikwaa Kuna sababu , ukila ukapaliwa ipo sababu, ukiangusha kalamu ipo sababuNi ajali ya kawaida tu chopa ilifanikiwa kushuka taratibu
Ila nimegundua tukio lolote likitokea iran huwa lina beba attention kwa watu wengi duniani
Ya Rais?Kwani marekani haijawahi kupotea ndege?
wakiristo wengi akili zao ndogo. hivi sasa ndio naaminiAcha vichekesho bana. Mungu wa Israel ni mkuu sana.
Mwenye akili lini kulikuwepo Taifa la Palestina?
Ila huyu jamaa inamankusweke hii id yake inanifanya niamini jamaa kalelewa katika maadili ya hovyo kabisa.Accumen Mo , Ritz , Malaria 2 , Kosugi bila kusahau inamankusweke nendeni mkagombee urais katika nchi yenu. Nafasi ipo wazi. Rais ameenda kuogelea kwenye mito ya pombe sasa na amewahi bikra 72 huko.
Usifurahie vifo vya watu sababu ya itikadi zako. Mungu pia anaweza kukuadhibu na wewe upatwe na msiba mzito ndani ya familia yako. Nyie mnafurahia kusikia watu wanakufa Gaza/Israel na kule Ukraine KISA TU USHABIKI NA ITIKADI. KWA JINSI ULIVYOFURAHIA KIFO CHA HUYO RAIS WA IRAN NADHANI MUNGU AKUFUNDISHE TU , OTHERWISE OMBA HIYO ROHO YAKO ITAKASWE NA USAMEHEWENyie waajemi wa kisiwandui akina Accumen Mo na rafiki yake Maghayo the Mongolian adriz Nendeni mkagombee urais jimbo lipo wazi nchini kwenu au mkikosa nafasi, mchukueni hata Malaria 2 pamoja na Ritz Mkapige kura ya kuchagua Rais wa Taifa lenu mwingine kwani huyu wa sasa keshafika kwenye mito ya Pombe anaogelea Ulanzi, pingu, komoni huku Muuza Kangala akimuuzia na Kangara bila kusahau bikra 72 wenye macho makubwa na ya Gololi wakimsubiri awashughulikie.
Correction: ni overcame sio overcomed. Bora utumie overcome kwenye past tense kuliko overcomed.Correction, overcomed sio overcome. Kifo/matatizo sio adhabu kwa watenda maovu.
Wakiristo wa jf watu ajabu snaa. wanaroho ya kutisha katika nafsi zaoUsifurahie vifo vya watu sababu ya itikadi zako. Mungu pia anaweza kukuadhibu na wewe upatwe na msiba mzito ndani ya familia yako. Nyie mnafurahia kusikia watu wanakufa Gaza/Israel na kule Ukraine KISA TU USHABIKI NA ITIKADI. KWA JINSI ULIVYOFURAHIA KIFO CHA HUYO RAIS WA IRAN NADHANI MUNGU AKUFUNDISHE TU , OTHERWISE OMBA HIYO ROHO YAKO ITAKASWE NA USAMEHEWE
Yericko Nyerere ChoiceVariableUnaweza pia kukuta wafuasi wa CHADEMA wanamshabikia Putin, Xi, Kiduku na Raisi huku wafuasi wa CCM wanamshabikia Zelenskyy na Biden!
Basi acheni UPUMBAVU.ajali utokea kwa mtu yoyote. Israel wangetamani kumuia ila huo uwezo hawana