Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Ukubwa wa Irani uko wapi kama ndege ya iliyobeba Rais inapotea kijinga namna hiyo?
Kwanza unampelekaje Rais kwenye hali ya hewa mbaya namna ile tena kwa ki helikopta cha zamani?
Kwani ile ndege ya Malaysia ilipotea vipi?
 
Hapo unaizushia uongo Israel!
Iran imeanza kuichezea Israel muda mrefu hata kabla ya Raisi kufa kwa ajali.
Raisi amekufa kwa wakati wake kama binadamu wengi wanavyokufa!
................Lakini hawakuwahi kurusha hata jiwe kwenye ardhi ya Israel..😢😢😛😛
 
1716179915530.png


45. Ikakatwa mizizi ya watu walio dhulumu - na wa kuhimidiwa ni Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote

(Qur-aan 6 : 45)
 
Sasa kama kweli israel kidume.waambieni wathibitishe kuwa wao ndo wamemuua rais.
Kwa hiyo unataka kabisa ndgu yangu watu watoe mpaka siri za mifumo ya kiintelijensia nchini kwao? au waanike siri zao kama komando wenu muuza madafu Never happen in this World!
 
Hata mimi nilipoiona hii habari jana nilijua hili litatokea. Tofauti na ajali nyingine, uwezekano wa kupona kwenye sector ya anga hua ni mdogo sana
Angalia hata utafutaji wake hivi kweli kama walianguka na wakapona wakahitaji msaada wa haraka kwa muda wote huo waliotumia kuwatafuta si watakuta wamekufa kabisa dah huu msiba.
 
Hii ndio Update few minutes....Aljazeera...

By Ted Regencia
Published On 19 May 202419 May 2024
Click here to share on social media
  • Iran’s President Ebrahim Raisi and Foreign Minister Hossein Amirabdollahian on board the helicopter that suffered a “hard landing” in Iran’s East Azerbaijan province, says Iranian state media.
  • Adverse weather conditions, including heavy fog, are hampering rescue efforts and the helicopter is still missing.
"Hard landing" chopper lililazimishwa kushuka chini! Chezea tena!
 
There are things that cannot be overcome by human intelligence. There is an inevitable scenario that creates the moment of oblivion that leads to such incidents and no one can be vilified because it's a devine wish designed to punish the wicked for the wrong doing.
Correction, overcame sio overcome. Kifo/matatizo sio adhabu kwa watenda maovu.
 
Back
Top Bottom