Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Kumbe zilikuwa tatu zinaongozana ila moja ndio imekumbana na hali mbaya ya hewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana.Correction: ni overcame sio overcomed. Bora utumie overcome kwenye past tense kuliko overcomed.
Hiyo taarifa ya kifo cha huyo raisi wa Iran wanazo watoto wa uswahilini Temeke huko.Nimeangali vyombo vikubwa vya habari hii taarifa haipo.
Basi ndio wamemgusa sasa. Hutaki!Israel hana uwezo na hawezi kufikiria kumgusa Iran official yeyote.
We unadhani officials wa Iran sawa na makamanda wa Lebanon!?
Israel hawezi maana that means to a full war escalation.
Hii ni ndege sio Heli
Ila wavaa kobazi wanaosubiri kujitoa muhanga wakapate mabikra 72 pembeni ya kijito cha pombe ndo wana akili!? Acha kuchekesha aisee, nyie wote (mliokataa asili yenu na kupokea dini za majahazi) HAMNA AKILI.wakiristo wengi akili zao ndogo. hivi sasa ndio naamini
Fact! Kuna watu wanaleta porojo humu.Helicopter ajali zake zimekuwa nyingi kama bodabodaaa...!! Nadhani kuna poor service na maintanance yakeee kuanzia kina filikunjombe...kobe..mmiliki wa Leicester...general wa kenya now rais wa iran.. SIO USAFIRII SALAMA KABISA.
Afu wenzao hawakusimama, wakaendelea hadi base.Kumbe zilikuwa tatu zinaongozana ila moja ndio imekumbana na hali mbaya ya hewa
Kafie mbele huko tukio la October 7th mwaka jana mbona watu walishangilia humu.Usifurahie vifo vya watu sababu ya itikadi zako. Mungu pia anaweza kukuadhibu na wewe upatwe na msiba mzito ndani ya familia yako. Nyie mnafurahia kusikia watu wanakufa Gaza/Israel na kule Ukraine KISA TU USHABIKI NA ITIKADI. KWA JINSI ULIVYOFURAHIA KIFO CHA HUYO RAIS WA IRAN NADHANI MUNGU AKUFUNDISHE TU , OTHERWISE OMBA HIYO ROHO YAKO ITAKASWE NA USAMEHEWE
Kwaiyo na wewe ni shoga unavyonisifia?kusifia wanaume wenzio ni ushoga
Israeli hata akiua mgambo huwa hasemi chochote. Kwenye diplomasia ya kidunia hakuna taifa jinga kiasi hicho, kwamba hata kama ni kweli waende hadharani na kukiri hayo.Sasa kama kweli israel kidume.waambieni wathibitishe kuwa wao ndo wamemuua rais.
7:59 PM EDT -- BREAKING NEWS:
Iran Intelligence and Special Forces have raided the Embassy of India on information that India acted against Iranian President Helicopter, on behalf of Israel.
more:
Reportedly Iranian intelligence is on the hunt for an Indian national spotted near the helicopter just hours before President Raisi's boarding.
Sasa wangerudi wafanye nini??? Wakati kuipata tu hiyo helcopter imechukua siku 2 sijuii.. Wao wasingeweza kurisk piaa.Afu wenzao hawakusimama, wakaendelea hadi base.
Nina amini hao wote wako sehemu salama wakieleza kwanini sio wao
Umeelezea vizuri mkuu na ni kweli zinatumika kwa rescue mission nyingi tu mpaka milimaniMkuu helicopter inafika mahala ambapo ndege haifiki. Kwenye rescue missions wanatumia helicopter kuliko ndege. Kwenye rough weather, kuzima moto, kupita sehemu korofi kama milimani. Helicopter inapitia mazingira magumu nayo inachangia ajari zake kuwa nyingi, ni kama Mloganzila inapewa wagonjwa walioshindikana alafu inalaumiwa kwa kuwa na vifo vingi.
Ukiachana na hizi za kina Deo Filikunjombe, VIP transport ya head of state kama Iran inatakiwa service na airworthiness nzuri sana. Na lazima mazingira yawe rafiki, sio suala kama la Kobe Bryant rubani alijiamulia kuendesha, kwa Rais kuna security protocols.
Mbona hata Marekani wana Marine One ya kumbeba Rais
Correction, overcame sio overcome. Kifo/matatizo sio adhabu kwa watenda maovu.
Kuwa serious kidogo, hebu tafuta past participle ya neno "overcome".
Kuliko wafuasi wa mo ?. Acha swahiba wenu akatembeze borrow kwa bikra 72wakiristo wengi akili zao ndogo. hivi sasa ndio naamini
He’s balls deep in his 72 virgin billygoats asses already!"Mchinjaji wa Teheran" Ameenda ku enjoy mabikra 72 kwenye Pepo ya Allah SWT. Waislamu (Washia) msiache kumtakia kila la kheri huko aliko!