Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Bro huo sio utani tizama vyombo vya habari uone.
Helikopta ya toka 1970 na maintanance imefanyiwa mara kadhaa sana.
Na wanasema "it is decades since the maintanance of the chopper".

From Aljazeera..

What do we know about the crashed helicopter?​


Here are some facts about the US-manufactured Bell 212 helicopter:
  • Bell Helicopter (now Bell Textron) developed the aircraft in the late 1960s as an upgrade of the original UH-1 Iroquois for the Canadian military.
  • The new design used two turboshaft engines instead of one, giving it greater carrying capacity.
  • According to US military training documents, the helicopter was introduced in 1971 and quickly adopted by both the United States and Canada.
  • The craft is designed to carry aerial firefighting gear and cargo and to mount weapons.
  • This particular helicopter had been reconfigured to carry 15 people, including a pilot.
  • Sanctions have made it difficult for Iran to obtain parts or new aircraft.
  • The most recent fatal crash of a Bell 212 was in September 2023, when a privately operated aircraft crashed off the coast of the United Arab Emirates, according to the Flight Safety Foundation, a non-profit focusing on aviation safety.
 
Iran nao kuna watu pale ni wa$3nge sana, mi hii habari nimepata nilivyoangalia na picha ya helicopter nikasema huyu mzee katangulia.

Iran na wao wafikie muda waache u$3ng3 pumb@v kabisa, yaani rais anabebwa na helicopter ipo kama tractor, ndege yenyewe haionekani hata kama inaweza kujihami ikitokea shambulizi.


Hao wanausalama ni wa$3ng3 tu, na kuanzia leo sitaki tena mijadala kuchangia huu upuuzi wa vita ya Israel na Iran.

Hao wayahudi ni wajanja sana, unakuta miaka kadhaa nyuma walifanya mchongo kupeleka vipuri vya hio ndege ambavyo wangeweza kuvi control remotely na ndege ika mis behave na kuanguka.

Mnafahamu mna maadui NATO, Israel na US, halafu mnampandisha mzee wa watu ndege ipo kama guta, hivi hao wana usalama wa rais wana akili?
Mijamaa mi$3ng3 kweli. Acha wafe m@t@k0 yao.
Shit.
 
Arm chair generals. White house wanatumia Sh-3 sea king, ambayo imekuwa introduced 1961. Wanatumia modernised black hawk helicopters ambayo imekuwa introduced 1979.

So helicopter za juzi au old? Uzamani wa helicopter si tatizo but jinsi gani mna zi maintain.
Helicopter iliyopata ajali bell UH-1N helicopter, introduced 1970s, and jeshi la marekani bado wanazitumia mpaka leo.

Uazamani au utunzaji ndio tatizo?
Ni uzembe tu,
Ni wazi vifaa vingi bado viko ktk service toka kuzinduliwa,ila linapokuja swala la kuhudumia VIPs nadhani vinaongezewa umakini.

Hawa jamaa wamepuyanga pakubwa.
 
We
Kuna kitu....Hakukua hata na May Day....

No Mayday call from pilot indicates a ‘serious controllability issue’​


Aviation analyst Kyle Bailey has told Al Jazeera the lack of communication from the helicopter pilot or another flight crew member left no doubt that there was a “serious controllability issue”.
He said that if a helicopter has a serious technical issue mid-flight, the pilot’s first task is to “keep the plane flying, and then communications would be second”.
Bailey added: “We basically didn’t see any communication … because the pilot was probably just so focused on landing the helicopter or keeping it in the sky.”
The analyst also explained: “It appears from the helicopter being in two parts that the tail rotor most likely was sliced off, and that would be a result of the main rotor blade impacting the tail.”
He said this would have been caused by aerodynamic forces created when the pilot was manoeuvring to land the helicopter or possibly because of a technical issue.
Another possibility, he said, is tail rotor failure.
“If we see that spiral motion where the helicopters kind of rotating 360 degrees, clockwise or counterclockwise, that could indicate that the tail rotor failed, and … would be out of control”.
Bailey said adverse weather conditions and mountainous terrain could also have contributed to the fatal crash.
We are not responsible for the death of Iran president, Raesi. IDF
 
Acha utani wewe muajemi kwa teknolojia alokuwa nayo, na mihela na miakili alopewa na allah kweli alishindwa kuifanyia maintenane hiyo chopper? dah si angenunua hata za za kichina, au kirusi basi kuliko kuzing'ang'ania hizo za US au angeenda kwa mchina amfyatulie vipuri vya hizo chopper maana mnasemaga mchina kampita mmarekani hivyo spare za chopper tu sio issue kwake.
Bro mbona unaropoka sana.
Acha utani wewe muajemi kwa teknolojia alokuwa nayo, na mihela na miakili alopewa na allah kweli alishindwa kuifanyia maintenane hiyo chopper? dah si angenunua hata za za kichina, au kirusi basi kuliko kuzing'ang'ania hizo za US au angeenda kwa mchina amfyatulie vipuri vya hizo chopper maana mnasemaga mchina kampita mmarekani hivyo spare za chopper tu sio issue kwake.
Bro mbona unaropoka sana?
Punguza kuropoka basi.
 
Iran ndege ya Rais imedondoka wamefika eneo la tukio baada ya masaa 16.

Wakati Kaskazini mwa India kule Ladakh ambapo wana mgogoro na China kuna milima mikali ni uwanda wa juu sana na ukungu ni almost kila siku ila huwa wanarespond haraka kwa ajari.

Marekani F-35 ilidondoka baharini wakatuma vifaa viiondoe kwenye sakafu ya bahari. Hawa Iran wanasingizia hali ya hewa mbaya. Au kuna mkono wa mtu.
Anyway apumzike kwa amani na FM piaView attachment 2994762
Sacrificial lamb
 
Mkuu naomba unieleweshe maana sielewi, rais wa sasa ndio anaitwa Raisi huyo kwenye picha? na huyu Ayatollah ni nani? maana hua nasikia sana jina la Ayatollah na nilijua ndie rais wa nchi, kama utawea naomba na picha za wote wawili, asante
Ayatollah ni kiongozi mkuu, kama alivyokuwa
Iran nao kuna watu pale ni wa$3nge sana, mi hii habari nimepata nilivyoangalia na picha ya helicopter nikasema huyu mzee katangulia.

Iran na wao wafikie muda waache u$3ng3 pumb@v kabisa, yaani rais anabebwa na helicopter ipo kama tractor, ndege yenyewe haionekani hata kama inaweza kujihami ikitokea shambulizi.


Hao wanausalama ni wa$3ng3 tu, na kuanzia leo sitaki tena mijadala kuchangia huu upuuzi wa vita ya Israel na Iran.

Hao wayahudi ni wajanja sana, unakuta miaka kadhaa nyuma walifanya mchongo kupeleka vipuri vya hio ndege ambavyo wangeweza kuvi control remotely na ndege ika mis behave na kuanguka.

Mnafahamu mna maadui NATO, Israel na US, halafu mnampandisha mzee wa watu ndege ipo kama guta, hivi hao wana usalama wa rais wana akili?
Mijamaa mi$3ng3 kweli. Acha wafe m@t@k0 yao.
Shit.
Mkuu mbona umechafukwa hivi,
Hao jamaa ni wazembe sana,
kuna mdau humu amesema hiyo chopa hata Nape asingekubali kuipanda,
 
Iran nao kuna watu pale ni wa$3nge sana, mi hii habari nimepata nilivyoangalia na picha ya helicopter nikasema huyu mzee katangulia.

Iran na wao wafikie muda waache u$3ng3 pumb@v kabisa, yaani rais anabebwa na helicopter ipo kama tractor, ndege yenyewe haionekani hata kama inaweza kujihami ikitokea shambulizi.


Hao wanausalama ni wa$3ng3 tu, na kuanzia leo sitaki tena mijadala kuchangia huu upuuzi wa vita ya Israel na Iran.

Hao wayahudi ni wajanja sana, unakuta miaka kadhaa nyuma walifanya mchongo kupeleka vipuri vya hio ndege ambavyo wangeweza kuvi control remotely na ndege ika mis behave na kuanguka.

Mnafahamu mna maadui NATO, Israel na US, halafu mnampandisha mzee wa watu ndege ipo kama guta, hivi hao wana usalama wa rais wana akili?
Mijamaa mi$3ng3 kweli. Acha wafe m@t@k0 yao.
Shit.
Kila mtu anawalaumu kwa hiki kitu.
Yani wameonekana wazembe kufuru ya rahmani.
 
Kosa kubwa ililofanya Iran ni kurusha yale mabobu kwa Israel ,wakubwa huwa hawachezewi sharubu ukiwachezea watajifanya wamekaa kimya kumbe wananakulia timing ikukumbuka yule jamaa ayetaka kwenda Moscow kumpindua Putin akijitamba ilikuwaje na huyu rais wa Iran imekuaje ...don't mess with giants just play smart.
😂😂😂😂Wabongo bwana.
Israel wenyewe hawajaongea wewe unaropoka kuwa wao ndio wamefanya.
Una ushahidi gani??
 
Iran nao kuna watu pale ni wa$3nge sana, mi hii habari nimepata nilivyoangalia na picha ya helicopter nikasema huyu mzee katangulia.

Iran na wao wafikie muda waache u$3ng3 pumb@v kabisa, yaani rais anabebwa na helicopter ipo kama tractor, ndege yenyewe haionekani hata kama inaweza kujihami ikitokea shambulizi.


Hao wanausalama ni wa$3ng3 tu, na kuanzia leo sitaki tena mijadala kuchangia huu upuuzi wa vita ya Israel na Iran.

Hao wayahudi ni wajanja sana, unakuta miaka kadhaa nyuma walifanya mchongo kupeleka vipuri vya hio ndege ambavyo wangeweza kuvi control remotely na ndege ika mis behave na kuanguka.

Mnafahamu mna maadui NATO, Israel na US, halafu mnampandisha mzee wa watu ndege ipo kama guta, hivi hao wana usalama wa rais wana akili?
Mijamaa mi$3ng3 kweli. Acha wafe m@t@k0 yao.
Shit.

Hapo ukizingatia tena spear zenyewe wananunua kwenye black market, unauziwa tu tracking device na circuits ambazo unaweza kucommunicate nazo remotely.
 
Back
Top Bottom