Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

katoto katoto rito.. πŸ˜‹πŸ˜‹.. utotoni wakati tupo shule ya primaly nimekala sanaaa hakaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..

Holy Man zee za Fiksiii 😎
 
Acha aliwe tu si kataka mwenyewe.

Anyway wataachana tu

Hakunaga mapenzi ya kweli kwa watu maarufu

Wakati utasema

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Maumivu ya majani naya feel
Watu wanambandua binti yako na kurekodi kabisa..na kurusha online..
Hahahah hata Mimi namuonea huruma majani daah[emoji1]

Ila na yeye si alikuwa mtemk bongo records enzi zile akina ferooz Hadi wanampigia magoti awatoe [emoji1]

Ukijidai muhuni Kuna wahuni zaidi yako

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kwani huwa yana formula bas, ni suala la muda tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…