Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
katoto katoto rito.. ππ.. utotoni wakati tupo shule ya primaly nimekala sanaaa hakaaa ππππ..Wakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost mpenzi wake huyo wakila bata maeneo ya watu wazito ....
View attachment 1792448
View attachment 1792236
View attachment 1792240
Kesi ipi ?
[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Hahahah..... Mtu mbadi
Mkuu wa idara Mshana Jr kumbe hadi huku unatokeaga.Wasanii jifunzeni kuhusu maisha, mahusiano jitahidi uyafiche sana na sio kufanya show off.[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548] UJANA MAJI YA MOTO
kuna mtoto mkali sana, kanifichaa... si unajua sie wa zee wa Next level.. hatukosei πππUnapoteleaga wap Mzee , spana kibao zinakupita
Arudi kwao bumbuli[emoji1787]Masikini Fahyma [emoji22]
Hahahah hata Mimi namuonea huruma majani daah[emoji1]Maumivu ya majani naya feel
Watu wanambandua binti yako na kurekodi kabisa..na kurusha online..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kajala anakula Tu pensheni ya
Kuzaa kisuu Kama yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maumivu ya majani naya feel
Watu wanambandua binti yako na kurekodi kabisa..na kurusha online..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Faymah wa nini, we don't talk talk..... Laalaa, la lalaa laalaa, lala kifuani"
Dawa ya wanawake viburi ndio hiiMasikini Fahyma π’
Si shombe shombeSema ukweli huyu binti ni mzuri aisee kuna wanawake uumbwaji wao umependelewa na paula ni miongoni mwao.
Hapo ndo wanakula bata basi mm nakula bata kila saaWakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost mpenzi wake huyo wakila bata maeneo ya watu wazito ....
View attachment 1792448
View attachment 1792236
View attachment 1792240