Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti waarabu wajomba zake..si akaishi nao sasa..tuacheni rasilimali zetu hatavizazi vyetu vitatakuja kusahihisha pale mlipo shindwa
Marehemu Kighoma Ali Malima hajawahi kuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwalimu Julius Nyerere.Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
A set up ?! Nobody knows !Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.
Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.
P
Na gesi ya Ntwara je ?Tuwe makini na mikataba ikiwamo huu wa Bandari siyo?
Sidhani kama alimaanisha hivyo ila huenda it was a set up ionekane hivyo !..Adam amempiga kijembe Maza ambaye wajomba zake ni Waarabu wa Oman.
Ila hapo kuhusu kusema eti Waarabu siyo wajomba zetu, karusha jiwe gizani. Kuna ka ukweli fulani ambako kanaweza kumgharimu cheo chake.Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe [emoji116]
Mihemko 😂Mbna kama una mihemko
Amesema waarabu sio wajomba zetu ww unasema amesema waarabu NI wajomba zetu
Tulia kijana tulia ,tulia usome tulia kwa usikivu
Angekuwa mbatizwa wa kanisa ungekuwa na msimamo huu juu ya alicho ongea?Msijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.
Waarabu wanaume wamezaa na watanzania na waarabu wanawake wamezaa na watanzania !Hao wasi wajomba zetu ni akina nani hasa?
Kabisa !Hizi Fikra kama za Malima ndizo zinazotakiwa. Kama kuna chochote cha kurekebishwa kwa manufaa ya taifa, kifanyike.
Sidhani kama kuna kiongozi wa serikali mwenye akili nzuri atasema kama kuna makosa yaachwe.
Kufanya makosa na kusahihisha ni jambo la kawaida.
Hivi alichokosema Malima kina tofauti gani na kinachosemwa na Watanganyika?Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.
Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.
P
Malima angekuwa Mgalatia usingesema haya uliyosema. Kimsingi Malima amepiga kwenye kidondaMsijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.
Serikali ya Ali Hassan MwinyiMarehemu Kighoma Ali Malima hajawahi kuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwalimu Julius Nyerere.
FaizaFoxy ndugu yangu hakuna apingaye wawekezaji popote pale watakapotoka hewala. Hadhari ni muhimu ili tusiingie mikataba tu ya hovyo kama ambavyo imekua historia. Tuna hati chafu juu ya mikataba tuliyopata kuingia hapo kabla. Mie sina chuki hata mwekezaji atoke Bahrain, Lebanon, Qatar au Israel. Tunachotaka serikali iache udalali kwenye mikataba.Aaah, mie wajomba zangu na mashemeji zangu hao. Lakini kwenye biashara hakuna mjomba wala shangazi, ndiivyo nilivyomuelewa Malima.
FaizaFoxy ndugu yangu hakuna apingaye wawekezaji popote pale watakapotoka hewala. Hadhari ni muhimu ili tusiingie mikataba tu ya hovyo kama ambavyo imekua historia. Tuna hati chafu juu ya mikataba tuliyopata kuingia hapo kabla. Mie sina chuki hata mwekezaji atoke Bahrain, Lebanon, Qatar au Israel. Tunachotaka serikali iache udalali kwenye mikataba.
Nyie kweli ni kima!! Sasa sisi tulikua tunapinga nini na nyinyi mnaongea nini sasa hivi? Loud and clear huu mkataba wa DP World ni mpumbavu peke ake anaweza kuukubali.Kaongea vizuri kabisa. "Tutazame tutakapoingia ubia hili linafaa hili halifai...".
Na hayo ndiyo serikali yoe inasema hivyo, kila mtu kinamna ya kuongea kwake".
Ubia bado, mkataba bado. ndiyo yote hayo yanapitiwa kwa kina kwa sasa na wataalaam wetu. Heko Malima.
Kumbe huko CCM bado kuna watu wenye akili zao. Big up Malima.Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
Kama mkaataba sio mbovu kwa nini anasema tuwe makini tusipigwe? Mkataba ungekua mzuri wala asingeweka tahadhaliNimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.
Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.
P