RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇
Marehemu Kighoma Ali Malima hajawahi kuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwalimu Julius Nyerere.
 
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
A set up ?! Nobody knows !
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe [emoji116]
Ila hapo kuhusu kusema eti Waarabu siyo wajomba zetu, karusha jiwe gizani. Kuna ka ukweli fulani ambako kanaweza kumgharimu cheo chake.
 
Hizi Fikra kama za Malima ndizo zinazotakiwa. Kama kuna chochote cha kurekebishwa kwa manufaa ya taifa, kifanyike.
Sidhani kama kuna kiongozi wa serikali mwenye akili nzuri atasema kama kuna makosa yaachwe.
Kufanya makosa na kusahihisha ni jambo la kawaida.
 
Hizi Fikra kama za Malima ndizo zinazotakiwa. Kama kuna chochote cha kurekebishwa kwa manufaa ya taifa, kifanyike.
Sidhani kama kuna kiongozi wa serikali mwenye akili nzuri atasema kama kuna makosa yaachwe.
Kufanya makosa na kusahihisha ni jambo la kawaida.
Kabisa !
 
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
Hivi alichokosema Malima kina tofauti gani na kinachosemwa na Watanganyika?
Umelishwa nini wewe babu?
 
Aaah, mie wajomba zangu na mashemeji zangu hao. Lakini kwenye biashara hakuna mjomba wala shangazi, ndiivyo nilivyomuelewa Malima.
FaizaFoxy ndugu yangu hakuna apingaye wawekezaji popote pale watakapotoka hewala. Hadhari ni muhimu ili tusiingie mikataba tu ya hovyo kama ambavyo imekua historia. Tuna hati chafu juu ya mikataba tuliyopata kuingia hapo kabla. Mie sina chuki hata mwekezaji atoke Bahrain, Lebanon, Qatar au Israel. Tunachotaka serikali iache udalali kwenye mikataba.
 
FaizaFoxy ndugu yangu hakuna apingaye wawekezaji popote pale watakapotoka hewala. Hadhari ni muhimu ili tusiingie mikataba tu ya hovyo kama ambavyo imekua historia. Tuna hati chafu juu ya mikataba tuliyopata kuingia hapo kabla. Mie sina chuki hata mwekezaji atoke Bahrain, Lebanon, Qatar au Israel. Tunachotaka serikali iache udalali kwenye mikataba.

Hakuna mkataba wa kuendesha bandari kwa yeyote mpaka sasa. Au upo?
 
Kaongea vizuri kabisa. "Tutazame tutakapoingia ubia hili linafaa hili halifai...".


Na hayo ndiyo serikali yoe inasema hivyo, kila mtu kinamna ya kuongea kwake".


Ubia bado, mkataba bado. ndiyo yote hayo yanapitiwa kwa kina kwa sasa na wataalaam wetu. Heko Malima.
Nyie kweli ni kima!! Sasa sisi tulikua tunapinga nini na nyinyi mnaongea nini sasa hivi? Loud and clear huu mkataba wa DP World ni mpumbavu peke ake anaweza kuukubali.
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇
Kumbe huko CCM bado kuna watu wenye akili zao. Big up Malima.
 
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
Kama mkaataba sio mbovu kwa nini anasema tuwe makini tusipigwe? Mkataba ungekua mzuri wala asingeweka tahadhali

Ameongea indirect kuwa mkataba haufai, umeshindwa hata kumuelewa?
 
Back
Top Bottom