RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
Paskali Acha kuspin.

Wote tunajua kuwa hakuna mkataba wa DPW. Mkataba ulipo na unaopingwa ni wa IGA kati ya Tanzania na Dubai Government.
 
Hizi Fikra kama za Malima ndizo zinazotakiwa. Kama kuna chochote cha kurekebishwa kwa manufaa ya taifa, kifanyike.
Sidhani kama kuna kiongozi wa serikali mwenye akili nzuri atasema kama kuna makosa yaachwe.
Kufanya makosa na kusahihisha ni jambo la kawaida.
Unaelewa maana yake? Kama kuna makosa yarekebishwe? Ina maana raisi alisaini agreement yenye mapungufu, je alikua hajui?
 
Hizi Fikra kama za Malima ndizo zinazotakiwa. Kama kuna chochote cha kurekebishwa kwa manufaa ya taifa, kifanyike.
Sidhani kama kuna kiongozi wa serikali mwenye akili nzuri atasema kama kuna makosa yaachwe.
Kufanya makosa na kusahihisha ni jambo la kawaida.

..mbona serikali nzima, chama, na chawa wa Mama Samia, wameshupaza shingo, na wanasisitiza kwamba mkataba uko sawa?
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇
Kumbe huyu siyo km wale wenye tabia ya unyumbu wanao ahirisha kufikiri kwa sababu ya ubinafsi ama kutumikia matakwa ya kundi fulani
 
Kwa hakika tuendelee kupiga kelele:



Hatukatai uwekezaji wala hatumkatai DP World.

Ila Kwa mkataba gani?

Kwa nini ni vigumu kuuona ukweli huu?

Malima ana hoja: "Asikilizwe!"
 
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
Nani m/kiti wa serikali?
Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.

Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.

Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.

Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.

Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.

P
Nani m/kiti wa chama?, chama gani hupitisha jina la speaker,bungeni wabunge asilimia 90 na ni chama kipi.....hio collective bla bla... ni kitu kimoja.... Yadumu mawazo matukufu ya m/ kiti
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

View attachment 2684047
ANAJITAMBUA NA ANAANGALIA MASILAHI YA NCHI KWA UPANA WAKE
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe [emoji116]

View attachment 2684047
Kigoma Malima Finance Minister wakati wa Mwinyi na ndio wagala wakamzushia eti kajenga msikiti wizarani.
 
Kwa ile video clip ya mgonjwa na nurse iliyo vujishwa, minaona hata Muhi2 ibinafsishwe kwa wajomba tu...🤨
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

View attachment 2684047
Yuko sahihi Wala hakuna tatizo na ni Mtizamo wa wengi..

By the way kama Watu Hawataki Rais piga chini achana nao
 
Prof Kighoma Alli Malima na Stephen Kibona ndio Mawaziri bora wa Fedha wa Nyakati Ngumu!
Kighoma Malima alikuwa mwizi mwingine aliyedhulumiwa fedha zake za wizi na wahindi akaishia kupata stroke akafilia mbali huko ulaya alikodhani ameficha kibubu chake!!
 
Kwa ile video clip ya mgonjwa na nurse iliyo vujishwa, minaona hata Muhi2 ibinafsishwe kwa wajomba tu...🤨
Una maana wajomba hawa hawa?

F0Lf3SrXsAIbHrZ.jpeg


Au na waki-matumbi mnao?
 
Back
Top Bottom