RC Amos Makalla hawezi hata kutoa hotuba!

Makala anafanya kazi nzuri sana , sema wafitina na mahasidi huwa hawakosekanagi!

Mahasidi mmeshashindwa!
 
Makala anafanya kazi nzuri sana , sema wafitina na mahasidi huwa hawakosekanagi!

Mahasidi mmeshashindwa!
Kwa maneno haya ya shombo dhidi ya wanaomlalamikia Makalla, wewe utakuwa mkewe ama basha wake
 
Utoto wake wa mjini unawasaidaje wakazi wa Dar es Salaam??
Unamsaidia yeye na ndo maana yupo hapo alipo!! Ungeuliza CCM imewasaidia nini watanzania ikiwamo wana Dar es salaam.

Nimemwambia mleta mada kuwa Makalla ni mtoto wa mjini kwa maana maalumu... kwamba asipoteze muda kumwelewa hao ndo watoto wa JK aka watoto wa mujiniii.
 
Amos Makalla ni mtoto wa mjini. Kaingia mjini kipindi Magufuli anaingia chooni peku huko Chato. Narudia Papaa Amos Makalla ni mtoto wa mjini na ameingia kwenye highest Echelons za CCM kipindi ambacho hujaanza hata kutembea mwenyewe.
Inamsaidia nini mtanzania? Kina mzee Mohamed Said walikuwepo dar tokea kinondoni pori la simba, mnazi mmoja nyumba za udongo na makuti. Sembuse huyo mpogoro. Sema tu ni sababu nchi ipo kwenye auto pilot. Ila kwa mtu makini na unayejielewa huwezi kufanya kazi na makalla.
 
Sio wanaume wote. Ukiona mwanaume analeta mbambamba ujue kaingia mjini ukubwani.
 
Sheiza popote unapoandika roho yangu hupaa... nalikumbuka penzi lako mrembo enzi zetu pale mitaa ya Lumumba! Japo hukua mzuri kivile ila hako ka rangi kako ka mkorogo wueeeeh [emoji3059]
 
Sheiza popote unapoandika roho yangu hupaa... nalikumbuka penzi lako mrembo enzi zetu pale mitaa ya Lumumba! Japo hukua mzuri kivile ila hako ka rangi kako ka mkorogo wueeeeh [emoji3059]
Kumbe naongea na KE. Mi kulumbana na KE ni haramu kwetu.
 
Ukiona mtu mzima anavaa sunglasses hadi usiku jua kabisa huyo ana upungu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wewe unataka hotuba au wataka maendeleo?
 
Jamaa ana kipaji cha kusifia
 
Ninacho fahamu hiyu RC wa dar Ana CPA T

Hvyo usimchukulie POA POA huyu jamaaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Lkn pia acha chuki muache rc achape kazi makonda mlimpiga Vita vikali Bado mnampiga Vita makala
Embu niwekee moja Kati ya hotuba nzuri kali ya makonda na kunenge huyu aliyeamishiwa pwani

CYO sawaa kumpima mtu kwa hotuba

Kam unataka hotuba mcheki mkapa na Obama nyerer mwenyewe haoni ndani mbele ya mkapa jamaaa anajuwa kuadress za nation acha kbsa

Muache makala amalize awamu yake aje mwenye kujuwa kutoa hotuba itakayo kufarahisha nafsi yako na jamaaaa zako

Kisha mtoke pale mmeshiba maneno matupu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Amos Makalla ni mtoto wa mjini. Kaingia mjini kipindi Magufuli anaingia chooni peku huko Chato. Narudia Papaa Amos Makalla ni mtoto wa mjini na ameingia kwenye highest Echelons za CCM kipindi ambacho hujaanza hata kutembea mwenyewe.
Mkude tu huyo amshukuru Mzee wa msoga
 
Hivi ana elimu gani huyo Amos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…