Regional Per Capita GDP: Hii ndio Mikoa 7 ambayo Wananchi wake wana kipato cha Uchumi wa kati Tanzania Bara

Production iko kubwa sana ukichukua mifugo yote ya mkoa wa mwanza ngombe,mbuzi ,kuku ,samaki wote nk ukigawa kwa population ya mwanza per capita utakayopata ni kubwa sana
Acha porojo tuwekee hapa takwimu za mchango wa sekta ya mifugo kwenye pato la Mwanza tuone vinginevyo unajifariji tuu hapa lakini hii sio mara ya kwanza Mikoa hiyo ya kanda ya ziwa kuwa ya mwisho .

Hata kwenye makusanyo ya halmashauri ukitoa mwanza jiji kwingine kote ni hamna kitu sasa wewe haiwezekani kila parameter inawapitia kushoto
 
... Kagera kwa climate yake haikutakiwa kuwa kwenye list ya umasikini! Achana na kahawa, ndizi za kila aina, n.k. hadi vanilla inalimwa kule wanakuwaje maskini?
Mtu akilima ka nusu eka ka vanila eti tayari ni mkulima hodari,aisee mtaogelea sana kwenye umaskini

Hata msihangaike tembeeni Mikoa tajwa afu uje kuringanisha na kwenu utapata majibu
 
uko sahihi .Iringa na njombe hamna kitu kule sijui wameziwekaje
... zaidi ya 70% ya mbao zinazotumika nchi hii zinatoka Njombe na Iringa tena wakulima wadogo. Parachichi pendwa Ulaya na Marekani ndio kwanza ina-take off; 5 to 10 years to come watakuwa level nyingine; TRA wahamie kabisa huko wakawatie umasikini. Je, chai? Kahawa? Wattle? Sijazungumzia mazao ya nafaka!
 
Mkuu @Oppurtunity Cost ngoja @instanbull aje akunange 😂😂
Unannangaje mjumbe? Akawanange NBS mimi nafikisha taarifa tuu.Toka nimeanza kutoa takwimu hapa hakuna hata siku moja Mikoa ya nyanda za juu imekosekana sasa unajiuliza inapendelewa au ndio uhalisia? Watu wanazaana hovyo hovyo wanarundikana kwenye vijumba vyao vya mabati ya masufuria saa ngapi watafanya kazi?
 
Hahahaha anakwambia Njombe na Iringa zinapendelewa. Pesa ipo Misungwii 😂😂
 
... sijawahi kuishi Moshi Mkuu; hebu dadavua kidogo.

Moshi ndizi mkungu mzima ni wakulima wanauza 1500Tsh, ukienda arusha mji unaofuata ndizi kichane kimoja ni 4000Tsh, ndizi nzima infika mpaka 40,000Tsh, sjawahi kusafirisha mzigo kutoka moshi mpaka arusha ila nauli ya mtu mwenyewe kutoka moshi mpaka arusha ni 1500 tu kwa lisaa moja! mengine ni maswali ambayo hata mm sielewi wakulima wa moshi wanafeli wapi



ukija dar sahani moja ya ndizi ni 2000 tsh kwa mama ntilie, na treni kutoka moshi mpaka dar ipo na kwenda arusha ipo! na mbunge mbowe alikuepo na alipinga treni
 
Achana na hilo jinga lipiga pambio la hayati Jiwe limekaa tuu sehemu moja lindhani Tzn ni lumumba pale.Kwa kukuongezea tuu mazo ya nyanya,mbogamboga,matunda anuai,viazi,pareto na nafaka za kila aina nk yanazalishwa kwa wingi mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

Saa ngapi tutakuwa maskini? bado utalii,madini,mifugo na biashara za kuvuka border havijawa fully utilised,siku vikichanganya hakutakamatika huku.Huko usukumani madini yanazidi kuisha na ardhi ni jangwa kutabakia magofu miaka 20 ijayo.
 

hivi ndo viashiria vya uchumi wa kati? ivi uko timamu?
 
Huo mkungu wa 1500 uliuziwa lini? Tafadhali punguza kamba..

Pia nauli 1500 ya lini hiyo? Acha uongo ndugu..
 
Hata Kagera? Mkoa uliobarikiwa kila aina ya mazao; evergreen everywhere unakosaje kuwa kwenye list ya 10 bora?
Wenye mkoa wamewekeza kwenye elimu na hawaishi mkoani hapo. Wapo mikoa mingine kama Dar ( mlimani, wizara ya M ya nje, Kairuki, Muhimbili n.k) , Arusha (wakikuza utalii, na kukuza bodi ya kahawa n.k)

Kifupi mchango wao kwenye hiyo mikoa 10 bora ni mkubwa sana.

Mikoa kama nyanda za kusini wananchi wamejikita sana kwenye rasilimali za mikoa yao kama kilimo n.k na hivyo mikoa hiyo kustawi. Hongera nyanda za juu.
 
Sisi mtwara na Gesi yetu asilia top 7 hatumo?? Na Tanga je??
 
Birth rate ikiwa kubwa soko nalo linakuwa kubwa vile vile GDP inapanda
Population isiyo na kipato ni hopeless kama ilivyo sehemu kubwa ya wasukuma.

Robo ya population ya dunia ipo China na robo nyingine ipo India lakini China inakuwa regarded kama 'potential world market' sababu ya hali nzuri kiuchumi, India hakuna mtu ana time nao sababu ni masikini kwa sehemu kubwa.
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] napokea pongezi kwa niaba yao
 
Mwanza ndio mkoa pekee Tanzania ambao utajiri uko kuanzia mijini hadi vijijini

Mijini kuna biashara nyingi sana ukienda vijijini kuna samaki na pamba na mifugo mingi na migodi kibao ya dhahabu
Tofautisha kuwa na rasilimali na kuwa na utajiri. Rasilimali zinaweza kukuletea utajiri if and only if zinatumika katika namna inayoleta tija kiuchumi.

Mfano mzuri ni Tanzania yetu ambayo ni miongoni mwa nchi zilizobarikiwa utajiri wa rasilimali lakini kwa kuwa 'maboga' yanatawala, nchi imebaki kuwa ombaomba huku wananchi wake wakiishi under extreme poverty for years.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…