Mkuu, tumpe mama muda, Samia kaipokea nchi ikiwa imeharibika kimfumo, utawala wa sheria uliwekwa kampuni, Sasa mama anayafufua mambo yote na kuyaboresha
Mkuu unaona yanayofanyika kwa sasa?
 
Iwapo ni miongoni au ulikuwa miongoni mwa timu uovu lazima usielewe pindi unavo sikia Neno uovu🤔
Mbona hueleweki mkuu mara uovu mara ushetani, nilikuwa miongoni mwa timu uovu gani hiyo!?
 
Acha ubwege, unadhani pikipiki mi sawa na sahani ya makande unayonunua kwa mia tano mtaani kwenu
ama kweli shule za kata sio msaada, yaani ujuavyo wewe nchi hii hakuna muuzaji mwenye stock ya pikipiki 300?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…