Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Sawa hujakosea, uchoyo si mzuri. Ila...

"St kayumba mna matatizo ya ubongo......."[emoji118] kwa hiyo waliosoma private ndo hawana matatizo ya ubongo?
 
ndo ukweli mchoyo hutakaa na mtu! kamwe! unaona raha kula michips na kujaza rijikitambi bila mke! huenda pia unamatatizo huko chini inatumika! ati
Inatumika(insertively) na nawala kweli kweli, na namshukuru Mungu kwa hilo, ila still sina shobo kihivyo.
 
Inatumika(insertively) na nawala kweli kweli, na namshukuru Mungu kwa hilo, ila still sina shobo kihivyo.
kama unakula kitu tamu! n tamu ni tamu kweli kweli kila ntu anajua humu! ..... kwanini uhudumie utamuuuu?? ili uendelee kupata tamuuu huduma??? ndo mashaka yangu yalipo hapo!!
 
Nakukubakigi sana , lakini bado hujatushawishi kwa kweli!
 

Wanawake hawatakiwi kuendekezwa ingawaje wao wenyewe wanapenda kuendekezwa
 
"Usizingatie sana yale maneno eti ukiwa mke na mtoto ndo unafanikiwa huo sio ukweli,zaidi na zaidi ukiwa na hao watu mapema kabla ya malengo yako kutimia lazima utadondoka au utachelewa kutoboa"
 
Umeandika ukweli kabisa Bro! ila Dejane kabarikiwa hayuko Kama hao wengne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…