Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Jiwe la gizani...Atakuwa ameguswa sehemu nyeti mpaka ametoka hadharani kwa kilio...Asicheze na Jesuit hajui atendalo...The power of holy sea?!
 
Leo mtu mkubwa sana ambaye kapata kushika vyeo vingi CCM na kuwa Mbunge na pia ni mfanyabiashara mjanja mjanja ametamka kwenye press kuwa walimhonga Dr Slaa kwa vile alikuwa anawapelekesha na sasa wamemtosa.

Kumbe CCM inayopinga rushwa (kama ahadi ya chama ya sipokei wala kutoa rushwa) ndiyo kinara wa rushwa na inagawa mpaka vyeo, jee hawa watu wanastahili hata kuwasikiliza?

Tupewe ishara gani kutambua kuwa umasikini wa watu wetu chanzo ni hawa watu? Tumelogwa?

 
Wewe ni chizi sana, kwani mtanzania akiwa bwege hasisemwe? Silaa alichokifanya ni ujinga kuuza nchi, watanzania wengi sio wazalendo braza acha sa100 auze bandari aise
 
Sasa ndugu yang Chakaza mpaka leo ulikua hujui hilo? Kwa ushawishi upi walionao, ndio maan wanatafuta wenye ushawish kwa gharama yoyote!!
 
Aibu kubwa sana !
 
Huyu bilionea kafanya botox injections asionekane mzee. He appears facially bloated kwa umri wake.
 
Hivi usalama wa taifa kwanini wanamlea RA?
 
Rostam asingejibu!

Nani kamwambia ajibu!!?

Hajui huyo slaa katumwa na nani!!?sio Pengo!!?

Pengo alipomuomba jasusi asamehe akashupaza shingo hukumbuki nini kilitokea!!?

Umenielewa!!?

Kitengo kazini!
Yaani mtu asemwe tu pasipo yeye kujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…