Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali

Sasa tufanyeje na anayafanya hayo kwa manufaa ya nani na nani anamlinda?
Huyu analenga akili ndogo...tujiulize ni wangapi wanaojua mambo ya ADR?
So hapo anajijengea umaarufu wake kisiasa, kumbuka wanasiasa wanaamini wapiga kura ni mbumbumbu.
Pia wanasiasa wanaenjoy audience!!
 
Ameongea ukweli Ila watanzania tulio wengi ni WAOGA WAOGA shida ndio inaanzia hapo km ulimi uliteleza sawa Ila kazungumza Jambo la ukweli, Mahakama zote zipo chini ya Serikali hazipo huru km mhimili unaojitegemea boss wao majaji na mahakimu ni Serikali kuu

404: Page Not Found
 
kuhusiana na majaji, na mahakimu alisema ukweli mtupu. hata hakutakiwa kuomba msamaha. ndio africa ilivyo.
 
Muhimili wa mahakama ,Rostam Aziz kauacha uchi kabisa,,jaji Mkuu bila kuchukua hatua dhidi ya matamshi haya ni bora ukajiuzulu tu
Inaonyesha kumbe muhimili huu hauko huru na umefanya dhulma nyingi kupitia maelekezo ya simu
MAHAKAMA HAIPO HURU

404: Page Not Found
 
kuhusiana na majaji, na mahakimu alisema ukweli mtupu. hata hakutakiwa kuomba msamaha. ndio africa ilivyo.
Maneno yake hayatofutika ukweli upo wazi majaji na mahakimu wanajitutumua tu Ila ni wa kufugwa kwa Serikali hawana la kusema

Simu moja tu mwachieni huru huyo anaachiwa simu moja tu msimpe hukumu hapewi hukumu simu moja tu mwachieni Sabaya

404: Page Not Found
 
Huyu bwana pamoja na kuandamwa na tuhuma za ufisadi kutoka kwa wapinzani, kuna siku alisema jambo kuhusu mahakama zetu na majaji wa mahakama hizo(sitaki kurudia kwani naweza nisimnukuu sawasawa).

Sasa kwa hukumu ya kesi leo huko Mbeya kuhusu uwekezaji wa DP WORLD; je, ndio kutimia kwa maneno ya Rostam ingawa nasikia aliomba radhi kwa matamshi yake?
 
Nakazia.
 
Sasa kwanini mnakibilia huko, wakati hampamini? Huo ndo kua opportunist kibarakara.
 
Ulidhani ULIMI ULITELEZA !!! HELL NO !!!
 
A black day in Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwanini mnakibilia huko, wakati hampamini? Huo ndo kua opportunist kibarakara.
Nathan ni kwasbabu ni lazima waanze na mahakama za ndani halafu ndio waje kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki ambayo inaweza kuwa huru kuliko hizi zetu za humu ndani.

Ni mtazamo wangu.
 
Sasa kwanini mnakibilia huko, wakati hampamini? Huo ndo kua opportunist kibarakara.
Baba yako hata akikufanyia ukatiri wa shambulio la aibu bado utaendelea kuishi naye mpaka pale wasamaria wema watakapokuokoa na bado atabaki kuwa baba yako.
 
Bunge na mahakama ni takataka tu mbele ya Raisi.

Tuna safari ndefu sana watampingaje ili hali yeye ndo kawateua.

Hamna Shida tutashinda nje ya mahakama
 
Baba yako hata akikufanyia ukatiri wa shambulio la aibu bado utaendelea kuishi naye mpaka pale wasamaria wema watakapokuokoa na bado atabaki kuwa baba yako.
Sema wakimtuhumu kama Aziz alivo tuhumu sio kufanyiwa kwasbb hakudhibitosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…