Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Urusi aondoe majeshi yake kwenye nchi ya watu.Suala sio kuwa ataitumia wapi bali ni Kiashiria (Indicator) kuwa vikwazo kwa Urusi havifanyi kazi sawa sawa inahitajika busara ya kuachana na vita hiyo ya kipumbavu!!
Aliyetangulia katangulia tu. Wewe kama hufanyi biashara urusi utachukua rubble za nini?Kwani US dollar na Pesa zingine Kwanini Zinatumika Nje ya Nchi zao ?
Je hao watu wana nguvu gani ya manunuzi? Mkuu hii ni kama mrusi anataka kuwakomoa tu Ulaya lakini kwenye uchumi wake mambo bado magumu tu in and out kwenye biashara ni muhimu sanaHivi wewe unaishi dunia ya wapi? Tayari kuna mapatano kati ya Urusi, India na China kuanza kufanya biashara kwa kutumia pesa zao za ndani. Na ujue unazungumzia mzunguko wa biashara kwa watu karibu bilioni 3!!
Kwani hao UE 40 countries hawazihitaji rubble??Aliyetangulia katangulia tu. Wewe kama hufanyi biashara urusi utachukua rubble za nini?
Kwenye uchumi wake upi Mkuu??,au unataka kusema kwamba uchumi wake ni mdogo??Je hao watu wana nguvu gani ya manunuzi? Mkuu hii ni kama mrusi anataka kuwakomoa tu Ulaya lakini kwenye uchumi wake mambo bado magumu tu in and out kwenye biashara ni muhimu sana
Mkuu nimeku PM.Walifikiri urusi ni kama Zimbabwe!!
Kampuni nyingi zinafungwa watu wengi wa napoteza kazi pesa nyingi inakwenda kugharamia vita huku uzarishaji ukipungua siku hadi sikuKwenye uchumi wake upi Mkuu??,au unataka kusema kwamba uchumi wake ni mdogo??
Mbona hata yetu hatuitumii popote nje ya bongo. Kikubwa uchumi wa warusi uimarike kupitia fedha yaoHiyo pesa ataitumia wapi nje ya urusi?
Ruble iko pegged to gold, dollar iko pegged to Nini?how long will this sustain in the market,
Hebu tutajie hizo co. Zinazofungwa na utuambie gharama za gas,umeme na vyakula wapi zimepanda Sana Kati ya nchi ulaya/Marekani vs Russia.Kampuni nyingi zinafungwa watu wengi wa napoteza kazi pesa nyingi inakwenda kugharamia vita huku uzarishaji ukipungua siku hadi siku
Usipoteshe wewe pro-putin na namuomba mod afute hii threadLeo ijumaa pesa ya Urusi Ruble imezidi kupaa kwa thamani ikilinganishwa na fedha zingine kama dola na Euro. Kwa sasa dola moja ni ruble 57.67.
Ikumbukwe kuwa kabla ya vita dola moja ilikuwa sawa na ruble 82, na mwanzoni mwa vita baada ya Urusi kuwekewa vikwazo lukuki vya kiuchumi, fedha yake iliporomoka hadi kufikia dola moja sawa na ruble 150.
Lakini baada ya Urusi kuanza kuuza gesi yake kwa ruble pesa yake ilianza kupanda kwa kasi na leo hii imefikia dola 1 = ruble 57.67.
Ruble smashes four-year high against US dollar
The Russian currency strengthens ahead of upcoming tax payment.
The Russian ruble reached its strongest position against the US dollar in over four years and reached a seven-year high against the euro on Friday. The ruble is being propelled by recently introduced capital controls, Russia’s new ruble-based gas payment scheme and looming tax payments for corporations pushing up demand for the currency domestically.
The exchange rate reached 57.67 rubles per dollar at 08:13 GMT, its firmest against the US currency since March 2018, according to data from the Moscow Exchange. The ruble also gained nearly 5% on the euro, with the exchange rate now below 60 rubles per euro, hitting a seven-year high.
Hawahitaji kwasababu urusi anachukua euroKwani hao UE 40 countries hawazihitaji rubble??
Rate yenyewe Serikali ndio hupanga sio nguvu ya soko la fedhaHiyo pesa ataitumia wapi nje ya urusi?
paundi ya muingereza haitumiki sana nje Zaidi ya palepale UK lakini inathamani kubwa kuliko dollar au euro...hii kitaalamu kwani imekaaje?Hiyo pesa ataitumia wapi nje ya urusi?
Anawanunulisha mabeberu WA ulaya na America mafuta yake na gesiHiyo pesa ataitumia wapi nje ya urusi?
Kiuchumi umeongopa sana, hakukuwa na bihashara ya dizaini iyo unayosema. Ni ivi mafuta yalikuwa yananunuliwa kwa Dollar, kwa iyo ulikuwa unazalisha mafuta alafu unayapeleka sokoni yananunuliwa kwa mfumo wa Dollar (Mpaka wakaita Petro-Dollar). Msimamiaji wa sokoni ni mwenye Dollar ambae ni USA na sio ety unawakopesha mafuta kama ulivyotaka kutupiga kamba. Sasa USA Ndio alikuwa anawalipisha ktk system ya Dollar na Ndio maana nchi nyingi zilikuwa na reserve ya Dollar kutokana na manunuzi kufanyika ktk account za Dollar.Mwanzo alaikua anawakopesha sawa hawa ulaya, anawapiga tafu sana, yaani anawabeba kwa nishati, baada ya chokochoko kumuekea vikwazo kaanza kuwalipisha inavyotakiwa haswa, yaani hamna mkopo wala nn, lipa hela nakupa gas/oil kwa hela ninayotaka mm
Ukiwa na hela ina thamani sana kwa maana ya exchange rate, halafu haikubaliki katika soko la dunia, bado hiyo hela haina thamani.Leo ijumaa pesa ya Urusi Ruble imezidi kupaa kwa thamani ikilinganishwa na fedha zingine kama dola na Euro. Kwa sasa dola moja ni ruble 57.67.
Ikumbukwe kuwa kabla ya vita dola moja ilikuwa sawa na ruble 82, na mwanzoni mwa vita baada ya Urusi kuwekewa vikwazo lukuki vya kiuchumi, fedha yake iliporomoka hadi kufikia dola moja sawa na ruble 150.
Lakini baada ya Urusi kuanza kuuza gesi yake kwa ruble pesa yake ilianza kupanda kwa kasi na leo hii imefikia dola 1 = ruble 57.67.
Ruble smashes four-year high against US dollar
The Russian currency strengthens ahead of upcoming tax payment.
The Russian ruble reached its strongest position against the US dollar in over four years and reached a seven-year high against the euro on Friday. The ruble is being propelled by recently introduced capital controls, Russia’s new ruble-based gas payment scheme and looming tax payments for corporations pushing up demand for the currency domestically.
The exchange rate reached 57.67 rubles per dollar at 08:13 GMT, its firmest against the US currency since March 2018, according to data from the Moscow Exchange. The ruble also gained nearly 5% on the euro, with the exchange rate now below 60 rubles per euro, hitting a seven-year high.
Hhmm mkongwe hapa umenifungua jambo, Ina maana ukienda na Ruble bureau de change, Ukataka kuwapa Ruble wakupe dollar Watagoma maana Ruble ni sawa na Bhange!!?.Ukiwa na hela ina thamani sana kwa maana ya exchange rate, halafu haikubaliki katika soko la dunia, bado hiyo hela haina thamani.