Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mwamba, imekuwaje umemkumbuka SHUJAA?RIP Shujaa Magufuli
mi nakumbuka maigizo yake, mara sijui anakula muindi barabarani, anagawa ghahawa, mara sijui anacheza bao, yani hii nchi jamaa kaipisha kaanani kwa miaka 6, nchi ya ahadi ipo mbali maana sasa tumeelekezwa Arabuni.