Sabaya Senior (Loy Sabaya) apata Ushindi wa Kishindo Uenyekiti CCM Arusha
Alafu nimegundua Tanzania kiongozi anayepambana na mafisadi na wakwepa kodi anaititwa katili mfano Hayati Magufuli..huo ndio ukweli
 
Mwamba, imekuwaje umemkumbuka SHUJAA?

mi nakumbuka maigizo yake, mara sijui anakula muindi barabarani, anagawa ghahawa, mara sijui anacheza bao, yani hii nchi jamaa kaipisha kaanani kwa miaka 6, nchi ya ahadi ipo mbali maana sasa tumeelekezwa Arabuni.
Jana Tundu Lisu alikuwa anafanya hivyo hivyo Tabata 😂
 
HONGERA SANA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM MKOA WA ARUSHA KWA UCHAGUZI SAFI NA KUMLETA MWENYEKITI MPYA WA CCM MZEE WETU LOY THOMAS OLE SABAYA.

Sasa Rasmi Ole Sabaya kulipiza kisasi kwa wabaya wake, Kuanzia Mbunge wa sasa na wale wa kesi alizopangua makahaka ya rufaa kwa technicalities.

ONGERA SANA WAJUMBE NA KONGOLLE KWA HUTUBA NZURI SANA TAKUTO KUTAKA KUKWAMISHANA KWENYE SAFU KAMA VIONGOZI KATINA UTENDAJI WA CHAMA NA SEREKALI YAKE NDANI YA MKOA WA ARUSHA

KATIKA DHANA YAKUTO TAKA KUKWAMISHANA NATAKA NIWAPE SIRI KWANINI KURA MOJA ILIARIBIKA KWENYE UCHAGUZI WAZIWAZI IKO WAZI LIVE PLEASE

NA KURA IYO SIO YA MWINGINE NI YULE YULE MKWAMISHAJI WA MKOA WA ARUSHA ALIO CHEKELEA KIFO CHA MWENYEKITI ZELOTE NA KWENYE UCHAGUZI MDOGO ALIWEKA WAGOMBEA WAKE 27 NA WOTE WALIKOSA SIFA NA MASHIKO KWENYE KAMATI KUU YA CCM TAIFA NA HALIMASHAURI KUU YA CCM TAIFA

NA MKWAMISHAJI UYU SIO MWINGINE NI YULE MBUNGE MWENYE KIBURI ZARAU NA MAJIVUNO ASIO SHAURIKA KWENYE MKOA WA ARUSHA

NAKWA ZARAU KUBWA SANA LEO BAADA YA KUONA KUWA AWEZI IFICHA ROHO YAKE MBAYA KWENYE CHAMA NA SEREKALI YA CCM AKIWA KWENYE UKUMBI ALIMWAMBIA MJUMBE MMOJA WAZI APA ATA NIKIJIPENDEKEZA SIWEZI PENDWA KILICHO BAKI MMI NAENDA KUARIBU KURA YANGU ILI TU ASIWE MNAFKI KWENYE MOYO WAKE

NA NDIVYO ALIVYO FANYA KUARIBU KURA WAZI YANI ASIPIGE KOKOTE WALA KUANDIKA CHOCHOTE KWA SABABU KATIKA WAGOMBEA WOTE ALIKUWA HANA CHAGUO LAKE

NA MJUMBE UYO MWENYE DHANA NA MIPANGO NA KAMASIO MIKAKATI YA KUKWAMISHANA NI MBUNGE WA ARUSHA JIJI MRISHO MASHAKA GAMBO

HONGERA SANA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM MKOA WA ARUSHA KWA UCHAGUZI SAFI NA KUMLETA MWENYEKITI MPYA WA CCM MZEE WETU LOY THOMAS OLE SABAYA.

Sasa Rasmi Ole Sabaya kulipiza kisasi kwa wabaya wake, Kuanzia Mbunge wa sasa na wale wa kesi alizopangua makahaka ya rufaa kwa technicalities.

ONGERA SANA WAJUMBE NA KONGOLLE KWA HUTUBA NZURI SANA TAKUTO KUTAKA KUKWAMISHANA KWENYE SAFU KAMA VIONGOZI KATINA UTENDAJI WA CHAMA NA SEREKALI YAKE NDANI YA MKOA WA ARUSHA

KATIKA DHANA YAKUTO TAKA KUKWAMISHANA NATAKA NIWAPE SIRI KWANINI KURA MOJA ILIARIBIKA KWENYE UCHAGUZI WAZIWAZI IKO WAZI LIVE PLEASE

NA KURA IYO SIO YA MWINGINE NI YULE YULE MKWAMISHAJI WA MKOA WA ARUSHA ALIO CHEKELEA KIFO CHA MWENYEKITI ZELOTE NA KWENYE UCHAGUZI MDOGO ALIWEKA WAGOMBEA WAKE 27 NA WOTE WALIKOSA SIFA NA MASHIKO KWENYE KAMATI KUU YA CCM TAIFA NA HALIMASHAURI KUU YA CCM TAIFA

NA MKWAMISHAJI UYU SIO MWINGINE NI YULE MBUNGE MWENYE KIBURI ZARAU NA MAJIVUNO ASIO SHAURIKA KWENYE MKOA WA ARUSHA

NAKWA ZARAU KUBWA SANA LEO BAADA YA KUONA KUWA AWEZI IFICHA ROHO YAKE MBAYA KWENYE CHAMA NA SEREKALI YA CCM AKIWA KWENYE UKUMBI ALIMWAMBIA MJUMBE MMOJA WAZI APA ATA NIKIJIPENDEKEZA SIWEZI PENDWA KILICHO BAKI MMI NAENDA KUARIBU KURA YANGU ILI TU ASIWE MNAFKI KWENYE MOYO WAKE

NA NDIVYO ALIVYO FANYA KUARIBU KURA WAZI YANI ASIPIGE KOKOTE WALA KUANDIKA CHOCHOTE KWA SABABU KATIKA WAGOMBEA WOTE ALIKUWA HANA CHAGUO LAKE

NA MJUMBE UYO MWENYE DHANA NA MIPANGO NA KAMASIO MIKAKATI YA KUKWAMISHANA NI MBUNGE WA ARUSHA JIJI MRISHO MASHAKA GAMBO
Wewe ni mbumbumbu !
Na watu wa aina yako ni mabingwa sana wa majungu!
Mkiambiwa mjiendeleze hata mpate vyeti hamtaki ,mmekalia uchawa tu!
 
Naona kama maagizo hivi!🤔🤔🤔
Hapana, Bi shangazi yupo zake ukweni huko Umangani, wengine wapo bize na akina zuchu huku mjini na kuna mwengine alikuw aananyanganya demu baa moja jana jumapili, saa hii kila mtu ashinde mechi yake.
 
Ongeraa,tuna imani ni jembe kama mwanae.
Il

like father like a son..mambo yatakuwa mazuri

Mafisadi na wakwepa kodi ..na wanaomkwamisha mama chali
Ongera = Hongera!!

Hii inaonesha wazi sifa za Chawa wa ccm.
 
Wewe ni nani upewe nafasi ndani ya chama, je utalinda vipi maslahi ya watawala huku ukinufaika nawewe. Hizi Mambo ni Mwendo wa waliopo au waliowahi kuwepo kwenye mfumo kutafuna national cakes, Hongera Mzee sabaya Kwa ushindi mnono ni matumaini ya Wana Arusha kupata usimamizi mzuri wa ilani ya chama Kwa ngazi ya mkoa.
Kwa wote wasiyokuwa na connection(s) kutoboa ni ndoto kubwaaa mno ni kujitahidi Kutafuta wa kuunganisha waya popote utakapo kuwepo katika harakati/kazi/mikusanyiko kikubwa epuka kuwa chawa maana si Jambo zuri linaua uwezo wa kufikiri na kuchanganua Mambo.
Kuna viongozi wanatafutwa DMs' Kwa support ndogo tu tena Kwa anuwani ya uanachama lakini wanapiga kimyaaaa Haaaa itakuwa msemo wao HUYU ANAMJUA NANI! , wanaCCM never loose hope watamaliza wanao Juana tu.
 
Ndio akili zenu mambumbumbu ndani ya CCM!

Baada ya kumtaka Mwenyekiti aliyechakuliwa kusimamia Ilani ya CCM na kukijenga chama, mnawaza (ga) ujinga ujinga tu wa mambo ya nje ya malengo ya chama!

Shwain!
Saambaya ndani ya nyumba,na koneksheni ya mtunza goli la dala dala.
 
Habari mbaya sana kwa Lema na majizi yote
 
Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.

Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.

Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.

My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Junior yupo kichochoroni kuula soon😁
 
Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.

Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.

Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.

My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Mtoto wa marehemu Zelothe ni DED wa Handeni, mtoto wa meya Arusha ni mwenyekiti UVCCM. Yaani kweli kama huna connection utaishia kusifu na kuabudu
 
Back
Top Bottom