Sabaya Senior (Loy Sabaya) apata Ushindi wa Kishindo Uenyekiti CCM Arusha
Hee naona chuma kimeingia chamani. Wenye kumbukumbu zake akiwa DC nadhani mnaelewa.
 
Kama ndo huyo mzee hapo kwenye picha basi no Comment!
 
Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.

Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.

Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.

My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
.
FB_IMG_1591342478234.jpg
 
Uzuri wa CCM ni kwamba Wanajua Siasa na zaidi ya yote ni Wasomaji wazuri wa Nyakati

Hongera Mzee Sabaya " Hapa Kazi Tu"

Mlale Unono 😀😀🔥🐼
 
Kama wewe unavyosifu na kuabudu 😂
Mimi ni mfanyabiashara niliyeridhika na shughuli zangu. Ninamsapoti mama kwa sababu hana roho mbaya wala chuki na wafanyabiashara tofauti na mtangulizi wake. Pia kuhusu hizo connection za kisiasa ningezitaka ningezipata kitambo tu.
 
Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.

Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.

Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.

My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Acha kuhamaki bure. Siasa safi ndio unawapata kina sabaya kuongoza. Mipigaji lazima itamani kumfungulia mzee kesi feki mapema maana wanawajua kina sabaya ni watu wa namna gani.
 
Back
Top Bottom