Kama wewe unavyosifu na kuabudu 😂Mtoto wa marehemu Zelothe ni DED wa Handeni, mtoto wa meya Arusha ni mwenyekiti UVCCM. Yaani kweli kama huna connection utaishia kusifu na kuabudu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe unavyosifu na kuabudu 😂Mtoto wa marehemu Zelothe ni DED wa Handeni, mtoto wa meya Arusha ni mwenyekiti UVCCM. Yaani kweli kama huna connection utaishia kusifu na kuabudu
Moto wa kuuula au🤔Aisee ahah moto umewaka
Mimi sipo kwa hili watu wengi wanakosa mamarifa kwa kutoona mbali bro mie humu dalali nikiongea mengi hata kama mie nimejisemea rahisi kushikwaMoto wa kuuula au🤔
Simba mzee meno ilishanghooka hana madhara huyo asubiri kuliwa na taiHabari mbaya sana kwa majizi yote na Chadema
Atakodi ulinzi na junior ni ulinzi wa kuaminika😁Simba mzee meno ilishanghooka hana madhara huyo asubiri kuliwa na tai
Kwani ile enzi imerudi au🫢Mimi sipo kwa hili watu wengi wanakosa mamarifa kwa kutoona mbali bro mie humu dalali nikiongea mengi hata kama mie nimejisemea rahisi kushikwa
Uzuri ni kuwa CCM inalipa nauli 200,Chadema 600....wakat huo ccm wananunua mafuta kwa 1500 tu,wao chadema 4000 kwa litaHabari mbaya sana kwa majizi yote na Chadema
Etweege anashibia korido za Lumumba pale😁.usijilinganishe nae🏃Uzuri ni kuwa CCM inalipa nauli 200,Chadema 600....wakat huo ccm wananunua mafuta kwa 1500 tu,wao chadema 4000 kwa lita
Mtoto wa Robert manumba ni ded kigoma daaa aiseeMtoto wa marehemu Zelothe ni DED wa Handeni, mtoto wa meya Arusha ni mwenyekiti UVCCM. Yaani kweli kama huna connection utaishia kusifu na kuabudu
.Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.
Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.
Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.
My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Mimi ni mfanyabiashara niliyeridhika na shughuli zangu. Ninamsapoti mama kwa sababu hana roho mbaya wala chuki na wafanyabiashara tofauti na mtangulizi wake. Pia kuhusu hizo connection za kisiasa ningezitaka ningezipata kitambo tu.Kama wewe unavyosifu na kuabudu 😂
Acha kuhamaki bure. Siasa safi ndio unawapata kina sabaya kuongoza. Mipigaji lazima itamani kumfungulia mzee kesi feki mapema maana wanawajua kina sabaya ni watu wa namna gani.Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.
Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.
Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.
My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Hiyo ndio Chaguo sio😁
rareee wadau wanasema kila uzi upo ni kweli hayo😁Kwani ile enzi imerudi au🫢