monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Wap nilipoonyesha kufurahiaKatili tena? Unafurahia mtu katili?Haendi j2 kanisani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wap nilipoonyesha kufurahiaKatili tena? Unafurahia mtu katili?Haendi j2 kanisani?
Mkuu fasadi alikuwa yeye JPM mwenyewe maana kwa mujibu wa CAG, Musa Asad.Alafu nimegundua Tanzania kiongozi anayepambana na mafisadi na wakwepa kodi anaititwa katili mfano Hayati Magufuli..huo ndio ukweli
Mkuu chadema wamekuibia nini? Walikuibia lini? Uliwa ripoti Kituo gani cha polisi? Walihukumiwa lini?Habari mbaya sana kwa majizi yote na Chadema
Yana muda basi!??Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Duuh kwamba mwenyekiti wa ccm mkoa ana nguvu hizo?Usie mtaka kaja
Huyu mwamba ni katili kuliko mtoto ake
Alishawahi choma nyumba za wananchi akiwa mkuu wa wilaya ya serengeti
Wanawake wakipata vyeo kwa kujiuza wanakuwa walipa visasi wazuri sana!Ni roho za watu walioachika, kumbuka Geku hana ndoa, alikuwa anapiga mume mbaya kabisa.
Mtu anakaribia menopasue hana mume, vijana wanapita na kupotea lazma awe na hasira.
Unamkumbuka Mabina? Ndio kinaenda kumkuta huyu mzeeHaya tutaona😁
Dua la kuku halimpati mwewe😎Unamkumbuka Mabina ? ndio kinaenda kumkuta huyu mzee
Tanzania ukiwa na jina maarufu hata kwa kuuwa au ushoga utapita vizuri kwenye uchaguzi wa viongozi!Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.
Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.
Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.
My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
🗑️🗑️Alafu nimegundua Tanzania kiongozi anayepambana na mafisadi na wakwepa kodi anaititwa katili mfano Hayati Magufuli..huo ndio ukweli
Ni mchapa kazi ..watu walipaswa kuhama wakagoma akawanyoosha..endelea kusema ugaidiAliwahi kutoa amri wa kuchoma moto makazi ya wanakijiji kule Serengeti akiwa mkuu wa Wilaya. Kweli uwezi kuwa kiongozi CCM kama mikono yako hainuki damu...hongera sana Familia ya kigaidi kwa kushinda m/k CCM Arusha.
Ndiyo, alikuwa ameandaliwa kwenye hicho cheo. Sasa unasemaje?Loy Ole Sabaya, baba wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha kwa kupata kura 463, kati ya kura 907
Hata hivyo, kabla ya ushindi huo alikumbwa na swali zito kutoka kwa Mjumbe mmoja, swali ambalo lilikatishwa na kuzuiwa kabisa kujibiwa.
Mjumbe huyo alimhusisha Sabaya na utwaaji wa ardhi za Wananchi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na kugeuza ardhi hizo kuwa Mapori Tengefu jambo ambalo linadidimiza Haki za wananchi hasa wafugaji.
Swali hilo lilizua zogo baadhi ya wapiga kura wakitaka lijibiwe sambamba na muulizaji kukatishwa huku Mwenyekiti wa uchaguzi huo akizuia lisijibiwe.
View attachment 2833465
Pia soma; Sabaya Senior (Loy Sabaya) apata Ushindi wa Kishindo Uenyekiti CCM Arusha
Usie mtaka kaja
Huyu mwamba ni katili kuliko mtoto ake
Alishawahi choma nyumba za wananchi akiwa mkuu wa wilaya ya serengeti
Alafu nimegundua Tanzania kiongozi anayepambana na mafisadi na wakwepa kodi anaititwa katili mfano Hayati Magufuli..huo ndio ukweli
Ipo waziKwa hiyo sabaya mdogo alipambana na mafisadi na wakwepa kodi?!
Tutegemee mengi sana kwa wapinzani, roho za mauaji zinarudishwa taratibu, 2024 uchaguzi wa Madiwani na wenyeviti tutegemee hayo au labda hata yale ya kina Alphons Mawazo, na watch-8.Akiwa mkuu wa wilaya ya songea mauaji ya raia yalishamiri kwelikweli
Mpaka wananchi wakaandamana kwa mkuu wa mkoa