Dah ingalikua kuna majina ya Ahmed basi ungalisakia HAMAS wameshinda Arusha..lkn kwa sababu yote akina John haya Hapa Jf husikii. Utadhani akina Ahmed nchi hii sio yao.Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo...