Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mwamba, imekuwaje umemkumbuka SHUJAA?RIP Shujaa Magufuli
Iam the state mtanifanya nn???Ongeraa,tuna imani ni jembe kama mwanae.
Il
like father like a son..mambo yatakuwa mazuri
Mafisadi na wakwepa kodi ..na wanaomkwamisha mama chali
Jana Tundu Lisu alikuwa anafanya hivyo hivyo Tabata 😂Mwamba, imekuwaje umemkumbuka SHUJAA?
mi nakumbuka maigizo yake, mara sijui anakula muindi barabarani, anagawa ghahawa, mara sijui anacheza bao, yani hii nchi jamaa kaipisha kaanani kwa miaka 6, nchi ya ahadi ipo mbali maana sasa tumeelekezwa Arabuni.
Mkuu ebu simama hapo juu ya meza.........Usie mtaka kaja
Huyu mwamba ni katili kuliko mtoto ake
Alishawahi choma nyumba za wananchi akiwa mkuu wa wilaya ya serengeti
HONGERA SANA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM MKOA WA ARUSHA KWA UCHAGUZI SAFI NA KUMLETA MWENYEKITI MPYA WA CCM MZEE WETU LOY THOMAS OLE SABAYA.
Sasa Rasmi Ole Sabaya kulipiza kisasi kwa wabaya wake, Kuanzia Mbunge wa sasa na wale wa kesi alizopangua makahaka ya rufaa kwa technicalities.
ONGERA SANA WAJUMBE NA KONGOLLE KWA HUTUBA NZURI SANA TAKUTO KUTAKA KUKWAMISHANA KWENYE SAFU KAMA VIONGOZI KATINA UTENDAJI WA CHAMA NA SEREKALI YAKE NDANI YA MKOA WA ARUSHA
KATIKA DHANA YAKUTO TAKA KUKWAMISHANA NATAKA NIWAPE SIRI KWANINI KURA MOJA ILIARIBIKA KWENYE UCHAGUZI WAZIWAZI IKO WAZI LIVE PLEASE
NA KURA IYO SIO YA MWINGINE NI YULE YULE MKWAMISHAJI WA MKOA WA ARUSHA ALIO CHEKELEA KIFO CHA MWENYEKITI ZELOTE NA KWENYE UCHAGUZI MDOGO ALIWEKA WAGOMBEA WAKE 27 NA WOTE WALIKOSA SIFA NA MASHIKO KWENYE KAMATI KUU YA CCM TAIFA NA HALIMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
NA MKWAMISHAJI UYU SIO MWINGINE NI YULE MBUNGE MWENYE KIBURI ZARAU NA MAJIVUNO ASIO SHAURIKA KWENYE MKOA WA ARUSHA
NAKWA ZARAU KUBWA SANA LEO BAADA YA KUONA KUWA AWEZI IFICHA ROHO YAKE MBAYA KWENYE CHAMA NA SEREKALI YA CCM AKIWA KWENYE UKUMBI ALIMWAMBIA MJUMBE MMOJA WAZI APA ATA NIKIJIPENDEKEZA SIWEZI PENDWA KILICHO BAKI MMI NAENDA KUARIBU KURA YANGU ILI TU ASIWE MNAFKI KWENYE MOYO WAKE
NA NDIVYO ALIVYO FANYA KUARIBU KURA WAZI YANI ASIPIGE KOKOTE WALA KUANDIKA CHOCHOTE KWA SABABU KATIKA WAGOMBEA WOTE ALIKUWA HANA CHAGUO LAKE
NA MJUMBE UYO MWENYE DHANA NA MIPANGO NA KAMASIO MIKAKATI YA KUKWAMISHANA NI MBUNGE WA ARUSHA JIJI MRISHO MASHAKA GAMBO
Wewe ni mbumbumbu !HONGERA SANA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM MKOA WA ARUSHA KWA UCHAGUZI SAFI NA KUMLETA MWENYEKITI MPYA WA CCM MZEE WETU LOY THOMAS OLE SABAYA.
Sasa Rasmi Ole Sabaya kulipiza kisasi kwa wabaya wake, Kuanzia Mbunge wa sasa na wale wa kesi alizopangua makahaka ya rufaa kwa technicalities.
ONGERA SANA WAJUMBE NA KONGOLLE KWA HUTUBA NZURI SANA TAKUTO KUTAKA KUKWAMISHANA KWENYE SAFU KAMA VIONGOZI KATINA UTENDAJI WA CHAMA NA SEREKALI YAKE NDANI YA MKOA WA ARUSHA
KATIKA DHANA YAKUTO TAKA KUKWAMISHANA NATAKA NIWAPE SIRI KWANINI KURA MOJA ILIARIBIKA KWENYE UCHAGUZI WAZIWAZI IKO WAZI LIVE PLEASE
NA KURA IYO SIO YA MWINGINE NI YULE YULE MKWAMISHAJI WA MKOA WA ARUSHA ALIO CHEKELEA KIFO CHA MWENYEKITI ZELOTE NA KWENYE UCHAGUZI MDOGO ALIWEKA WAGOMBEA WAKE 27 NA WOTE WALIKOSA SIFA NA MASHIKO KWENYE KAMATI KUU YA CCM TAIFA NA HALIMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
NA MKWAMISHAJI UYU SIO MWINGINE NI YULE MBUNGE MWENYE KIBURI ZARAU NA MAJIVUNO ASIO SHAURIKA KWENYE MKOA WA ARUSHA
NAKWA ZARAU KUBWA SANA LEO BAADA YA KUONA KUWA AWEZI IFICHA ROHO YAKE MBAYA KWENYE CHAMA NA SEREKALI YA CCM AKIWA KWENYE UKUMBI ALIMWAMBIA MJUMBE MMOJA WAZI APA ATA NIKIJIPENDEKEZA SIWEZI PENDWA KILICHO BAKI MMI NAENDA KUARIBU KURA YANGU ILI TU ASIWE MNAFKI KWENYE MOYO WAKE
NA NDIVYO ALIVYO FANYA KUARIBU KURA WAZI YANI ASIPIGE KOKOTE WALA KUANDIKA CHOCHOTE KWA SABABU KATIKA WAGOMBEA WOTE ALIKUWA HANA CHAGUO LAKE
NA MJUMBE UYO MWENYE DHANA NA MIPANGO NA KAMASIO MIKAKATI YA KUKWAMISHANA NI MBUNGE WA ARUSHA JIJI MRISHO MASHAKA GAMBO
Wanaamba ndio niniunambiwa kufikia sasa makanjanja wa chadema wanaamba kila moja na njia yake
Hapana, Bi shangazi yupo zake ukweni huko Umangani, wengine wapo bize na akina zuchu huku mjini na kuna mwengine alikuw aananyanganya demu baa moja jana jumapili, saa hii kila mtu ashinde mechi yake.Naona kama maagizo hivi!🤔🤔🤔
is like splittingWanaamba ndio nini
Ongera = Hongera!!Ongeraa,tuna imani ni jembe kama mwanae.
Il
like father like a son..mambo yatakuwa mazuri
Mafisadi na wakwepa kodi ..na wanaomkwamisha mama chali
Saambaya ndani ya nyumba,na koneksheni ya mtunza goli la dala dala.Ndio akili zenu mambumbumbu ndani ya CCM!
Baada ya kumtaka Mwenyekiti aliyechakuliwa kusimamia Ilani ya CCM na kukijenga chama, mnawaza (ga) ujinga ujinga tu wa mambo ya nje ya malengo ya chama!
Shwain!
Junior yupo kichochoroni kuula soon😁Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.
Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.
Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.
My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.
Mtoto wa marehemu Zelothe ni DED wa Handeni, mtoto wa meya Arusha ni mwenyekiti UVCCM. Yaani kweli kama huna connection utaishia kusifu na kuabuduUsiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo.
Sabaya ambaye ni Baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi hiyo baada ya kupata kura 473, akifuatiwa na Ndg Daniel Mrisho Pallangyo aliyepata kura 374, Solomon Ole Sendeka Kivuyo kura 59 na Edna Israel Kivuyo aliyepata kura 10.
Sabaya anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Zelothe Stephen aliyefariki hivi karibuni.
My Take
Kama wewe ni mtoto wa mkulima shika jembe ukalime maana siasa ni connection ya wenye majina.