Dah ingalikua kuna majina ya Ahmed basi ungalisakia HAMAS wameshinda Arusha..lkn kwa sababu yote akina John haya Hapa Jf husikii. Utadhani akina Ahmed nchi hii sio yao.Usiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo...
Katili tena? Unafurahia mtu katili?Haendi j2 kanisani?Usie mtaka kaja
Huyu mwamba ni katili kuliko mtoto ake
Alishawahi choma nyumba za wananchi akiwa mkuu wa wilaya ya serengeti
Wewe maamuma mbona kila jambo unataka kulipa sura ya udini?Katili tena? Unafurahia mtu katili?Haendi j2 kanisani?
Pole yake so na dogo nae kapita akasepa akaundiwa zengwe auNi roho za watu walioachika, kumbuka Geku hana ndoa, alikuwa anapiga mume mbaya kabisa.
Mtu anakaribia menopasue hana mume, vijana wanapita na kupotea lazma awe na hasira.
MABADILIKO NI SURA ILA RANGI YA SHATI NI ILE ILE KIJANI HAKUNA JIPYA CHINI YA CCMJimbo la Arusha mjini limekuwa chini ya wabunge kutoka makabila mbalimbali nje ya Arusha kwa muda mrefu.
Ushindi wa Ole Sabaya kuwa mwenyekiti ni ishara tofauti sana kwa siasa za Arusha...
Tujiandae kusikia SABAYA MTOTO NI KATIBU MKUU CCM BADALA YA CHONGOLOUsiyempenda kaja.
---
Mkutano Mkuu maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha, umemchagua Loy Thomas Sabaya, kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo...
Sabaya ni jina usilotakiwa kumesi naloMABADILIKO NI SURA ILA RANGI YA SHATI NI ILE ILE KIJANI HAKUNA JIPYA CHINI YA CCM
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
"It's not a jokes" ni maneno ya kingereza, lakini siyo kingereza 🧑🦯🧑🦯🧑🦯Sabaya ni wabaya kweli.. It's not a jokes!
Huyu nyumba yake ilishapigwa kiberiti na wananchi , nadhani sasa anatafutwa ababuliwe yeyeKwani Erythrocyte anasemaje?
Akiwa mkuu wa wilaya ya songea mauaji ya raia yalishamiri kwelikweliNi mbabe balaa, huyu atapigilia watu misumari miguunikama Sabaya Jr.
[emoji23] maghayo unakula tu ubuyuuuMkuu ebu simama hapo juu ya meza.........
Mkuu huyo Mzee Sabaya hajajichagua wala kuchaguliwa na watoto wake! Walaumu walio mchagua. Wakati huo ukumbuke sauti ya wengi ni sauti ya Mungu!Kabisa Mkuu.
Wenye nchi wanakula keki ya Taifa kwa kugawana na watoto zao.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Haya tutaona😁Huyu nyumba yake ilishapigwa kiberiti na wananchi , nadhani sasa anatafutwa ababuliwe yeye
🤣🤣🤣Mwamba, imekuwaje umemkumbuka SHUJAA?
mi nakumbuka maigizo yake, mara sijui anakula muindi barabarani, anagawa ghahawa, mara sijui anacheza bao, yani hii nchi jamaa kaipisha kaanani kwa miaka 6, nchi ya ahadi ipo mbali maana sasa tumeelekezwa Arabuni.