Kuna jamaa tayari ametaarifu jukwaa kwamba leo hii mkuu amegonga safari ya 337.
Kama taarifa hizi ni sahihi basi inamaana kiongozi huyu wa taifa letu masikini, lenye msingi wa kodi ya kuungaunga, atakua amebakisha safari nyingine kama 29 tu ili awe ametimiza mwaka mzima mawinguni.