Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

Kwanini wengine mnacomment kama hamkuwepo? Ama kweli twafanana kichwa lakini kilicho ndani ya hivyo vichwa ni tofauti. Lakini pamoja na yote ukiunguzwa kidole na mie nikiunguzwa, sote twahisi maumivu hata kama mwagugumia.
Eleza biashara halali iliyokufa kwasababu ya Magufuli.
 
Nyoko wewe🤣🤣🤣
 
Mtakuwa mmemficha sana huko 77.
Kwakuwa alikuwa shujaa wa Afrika akajengewe ARUSHA
 
Hapo Wasukuma mmefurahii, .
 
Hivi Hawa makaburu weusi uchwara wanatuona sisi wananchi mapimbi ee
Yaani sanamu la kujenga litumie hiyo pesa kwani linanakshiwa gold?

Ifike mahali CCM muwe na uchungu na pesa za walipa kodi haiwezekani serikali yenu iwe inafanya matumizi mabovu kisa kutaka show off za kijinga

Haiwezekani huu uhuni haukubaliki yaani sanamu la million 420?


Aiseee!
 
La Nyerere na Mkapa Je ?

Je Mkwawa au Machifu waliofanya mengi kwa ajili ya nchi yetu ?

Hawa watu hata hawaoni aibu kutangazia watu haya mambo, hizo pesa hakuna kweli kazi ya kuzifanyia ?
 
N
Ndo ivo mkuu ,tunamuenzi mhasisi wa middle economy 😄😄
 
Yaani kumkumbuka magufuli hadi tujengewe sanamu, pesa ya umma inapigwa kama haina mwenyewe....
Hawa watu siku zao zinahesabika haiwezekani watufanye wapuuzi kisa wameshika mpini makali yapo kwetu,
Upuuzi Kama huu tukidai katiba mpya wanajificha kwenye kivuli Cha tunajenga nchi,ukiwauliza miaka 60 waliokaa madarakani walikua wapi watafanya hata wakupoteze Kama Ben Saanane

Wapuuzi kabisa!
 
Ndo imepita bila kupingwa mkuu,unyonge aliotupa kayafa ndo umetufikisha hapa tulipo.420 mil just kinyago Cha mtu ambaye ametupa mapichapicha ya kutosha
 
Ajengewe hata sanamu ya mabilioni la muhimu huyu kichaa harudi milele.
 
BIG MISTAKE!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…