Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

Mkuu kwani kuna nini?
Mm sijakuelewa kabisaa! Naona unalalamika tu. Serikali inajenga sanamu kwa ajili ya nani?

Naomba unijibu ili nianze kutapika nyongo.
 

Naona wamekurupuka wangejenga Chato au Dododoma. Vilevile brand ya Magufuli haikuwa biashara ni ujenzi na uzalendo hivyo sijui itasaidia vipi sabasaba!
 
Tunalo tatizo la elimu nchini, hatuna madawati yakutosha, hatuna waalimu wa kutosha, hatuna vitendea kazi ikiwemo vitabu then yupo mtu amekaa wizarani huko amesoma sanaa na utamaduni anawaza kuidhinisha M420 kwa ajili ya sanamu kweli...
Aahahaha CCM bhana wanataka tena kuusimamisha sanamu ya mfalme Nebuchadnezzar
 
Aahahaha ccm bhana wanataka kusimamisha sanamu ya mfalme Nebuchadnezzar tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…