Mchawi ni CCM!Tunalo tatizo la elimu nchini, hatuna madawati yakutosha, hatuna waalimu wa kutosha, hatuna vitendea kazi ikiwemo vitabu then yupo mtu amekaa wizarani huko amesoma sanaa na utamaduni anawaza kuidhinisha M420 kwa ajili ya sanamu kweli...
Nchii hii inaongozwa na watu washamba sana sanaLingewekwa Chato..ili waende huko wajinga wote waliokuwa wanamuabudu wakafanye ziara ya kuabudu sanamu la dikteta..
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imesaini hati ya makubaliano ya jumla ya shilingi milioni 420 ya ujenzi wa sanamu la Hayati John Pombe Magafuli, na ukarabati wa kumbi kubwa za kisasa kwenye maonyesho ya sabasaba ya 45.
Mkurugenzi wa TanTrade Rutageruka Sabi amesema kuwa, ujenzi wa sanamu hilo unalenga kuenzi kumbukumbu, jitihada na mchango wa Hayati Dkt Magufuli katika kuinua uchumi.
Aahahaha CCM bhana wanataka tena kuusimamisha sanamu ya mfalme NebuchadnezzarTunalo tatizo la elimu nchini, hatuna madawati yakutosha, hatuna waalimu wa kutosha, hatuna vitendea kazi ikiwemo vitabu then yupo mtu amekaa wizarani huko amesoma sanaa na utamaduni anawaza kuidhinisha M420 kwa ajili ya sanamu kweli...
Aahahaha ccm bhana wanataka kusimamisha sanamu ya mfalme Nebuchadnezzar tenaMamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imesaini hati ya makubaliano ya jumla ya shilingi milioni 420 ya ujenzi wa sanamu la Hayati John Pombe Magafuli, na ukarabati wa kumbi kubwa za kisasa kwenye maonyesho ya sabasaba ya 45.
Mkurugenzi wa TanTrade Rutageruka Sabi amesema kuwa, ujenzi wa sanamu hilo unalenga kuenzi kumbukumbu, jitihada na mchango wa Hayati Dkt Magufuli katika kuinua uchumi.
CCM inataka kuwe na wajinga wengiAahahaha ccm bhana wanataka kusimamisha sanamu ya mfalme Nebuchadnezzar tena