Kataa kubali hakuna mtu maarufu Dar kama makonda usidanganywe na maneno ya mitandaoni hata Magu akigombania na Makonda Dar hashindiHuyo makonda hakuna mtu wa anampa kura - kwanza kafanya nini cha mno hadi azawadiwe ubunge na wana kigamboni? akagombee kwao ubashiteni huku hatumtaki atuache na shida zetu.
Kataa kubali hakuna mtu maarufu Dar kama makonda usidanganywe na maneno ya mitandaoni hata Magu akigombania na Makonda Dar hashindi
Kama ni kukabwa hawa jamaa wamekabwa. Yaani huyu muuza vitabu apambane na Paul?Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
bwa sheee sasa ina maana huyu wa sasa ndiyo kwishiney aka benchi la ufundi?Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Maarufu wa nini?Kataa kubali hakuna mtu maarufu Dar kama makonda usidanganywe na maneno ya mitandaoni hata Magu akigombania na Makonda Dar hashindi
Miaka 10 inamtosha atapangiwa majukumu mengine...... CCM ni chama kikubwa!bwa sheee sasa ina maana huyu wa sasa ndiyo kwishiney aka benchi la ufundi?
CCM muogopeni Mungu..
Awe Bashite awe Makonda huwezo kumuwekea Yeriko .Jamaa ana watu hata mtoto mdogo wa chekechea anamjua Makonda... Yeriko hataweza hanawanaomjua Dar wala hana resources za kushindana na Makonda ... msema kweli mpenzi wa Mungu
Wakigombania nini?!Kataa kubali hakuna mtu maarufu Dar kama makonda usidanganywe na maneno ya mitandaoni hata Magu akigombania na Makonda Dar hashindi
Wakigombania nini?!Kataa kubali hakuna mtu maarufu Dar kama makonda usidanganywe na maneno ya mitandaoni hata Magu akigombania na Makonda Dar hashindi
Ni kichaa mwenye watu wanaomsikiliza ukitaka kujua huyu ni mtu wa aina gani hata aseme la ajabu kiasi gani asilimia 90 watafanya ... kumuwekea Yeriko narudia tena ni kumuacha ashinde bila kipingamizi ...Yeriko na Bashite ni mbingu na ardhi kwenye siasaMaarufu wa nini?
Yericko ni Nyerere usisahau hilo bwashee!Awe Bashite awe Makonda huwezo kumuwekea Yeriko .Jamaa ana watu hata mtoto mdogo wa chekechea anamjua Makonda... Yeriko hataweza hanawanaomjua Dar wala hana resources za kushindana na Makonda ... msema kweli mpenzi wa Mungu
Nimekuelewa bwashee!Ni kichaa mwenye watu wanaomsikiliza ukitaka kujua huyu ni mtu wa aina gani hata aseme la ajabu kiasi gani asilimia 90 watafanya ... kumuwekea Yeriko narudia tena ni kumuacha ashinde bila kipingamizi ...Yeriko na Bashite ni mbingu na ardhi kwenye siasa
Mkuu unaishi Kenya?Kwahiyo Dr Faustine Ndugulile anapigwa chini kura za maoni?
Awe Bashite awe Makonda huwezo kumuwekea Yeriko .Jamaa ana watu hata mtoto mdogo wa chekechea anamjua Makonda... Yeriko hataweza hanawanaomjua Dar wala hana resources za kushindana na Makonda ... msema kweli mpenzi wa Mungu
Swali lako ni personal ingefaa umtafute umuulize binafsi... mi simzungumzii Makonda kama huyo uliosoma nae wewe mi namzungumzia kama mkuu wa mkoa mengine yanayohusu maisha yake muulize
maskini, wana CCM wanaumia ndani kwa ndani.....haya wavamizi wanakuja kuyachukua majimbo laaah. DR wa watu wamemtoa sadaka.Kwahiyo Dr Faustine Ndugulile anapigwa chini kura za maoni?