Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

Tetesi: Serikali haina pesa. Hali ni mbaya ya kusua sua baadhi ya Donors waanza kulalamika

"Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini " 🫣
Kuna siku trafiki wamenipiga faini bila kosa eti madereva wenzangu wananilalamikia. Nikauliza wanalalamika nini, nimewachomekea ama nimefanyaje, jamaa amekomaa tu madereva wanakulalamikia unaendesha vibaya.

Hapo sijaendesha vibaya wala kuchomekea mtu. Nilikua nimetanua sehemu inayoniruhusu kutanua bila tatizo.

Nikasema sawa, andika makosa unayoona yanakufaa, akasema poa. Akaandika moja nikaondoka.

Siku hizi trafiki hawezi kula hela yangu hata afanyeje, aniandikie tu nitalipa.
 
Huduma za kijamii kadai huko kwa matapeli mnaowatajirisha na mafungu ya kumi mmbuz nnyie
Fungu la kumi lisikuume kunguru wewe, hata lisipopelekwa haliwezi kuja kwako. Tafuta pesa acha wivu kwa watu wanaoeneza neno la Mungu, unataka wakale wapi? Eti mwasheria njaa, itakukomesha kweli ukikalia uchawa.
 
Fungu la kumi lisikuume kunguru wewe, hata lisipopelekwa haliwezi kuja kwako. Tafuta pesa acha wivu kwa watu wanaoeneza neno la Mungu, unataka wakale wapi? Eti mwasheria njaa, itakukomesha kweli ukikalia uchawa.
Huyo mpumbavu achana nae! Wanaohonga na kwenda kuvywa pombe hajawaona kaona waumini wanaotoa fungu la kumi!
 
K
Ofcz ukishaona mabenk mpaka bank kuu zinatangaza uuzaji wa bond ni dalili tosha kuna upungufu mkubwa wa pesa . Na pia kwenye na ma bank kuna ishu ya liquidity.

Tahadhar kubwa sana ni kwamba mwakani unaweza ukawa mwaka mgum sana EPUKA MIKOPO maana umaweza shindwa kui service kulingana na mzumguko wa pesa ku shake zaidi mtaani.

Mdau mkubwa sana ambae kwasasa ndio amekua ananufaisha hiz taasis za kifedha ni MFANYA KAZI kupitia mikopo yenye riba kandamizi
Kumbe mwakani naweza nkapata mbususu OG kwa buku
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Hujakosea kujichagulia jina "CHIZI" na kweli we ni chizi
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Inaweza kuwa kurejea kwa mbinu za aw5 kwa hisani ya mwenezi🤣
 
Kuna siku trafiki wamenipiga faini bila kosa eti madereva wenzangu wananilalamikia. Nikauliza wanalalamika nini, nimewachomekea ama nimefanyaje, jamaa amekomaa tu madereva wanakulalamikia unaendesha vibaya.

Hapo sijaendesha vibaya wala kuchomekea mtu. Nilikua nimetanua sehemu inayoniruhusu kutanua bila tatizo.

Nikasema sawa, andika makosa unayoona yanakufaa, akasema poa. Akaandika moja nikaondoka.

Siku hizi trafiki hawezi kula hela yangu hata afanyeje, aniandikie tu nitalipa.
Vizuri. Serikali inaihitaji fedha yako.
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Ni bora kuwa na Taarifa za kweli, Upotoshaji wa namna hii ndio unaofanya JF isiwe credible source ya taarifa, Fedha unazosemea zilipelekwa sehemu husika, katika elimu madarasa yalijengwa kwa ufanisi mkubwa, hakuna mkandarasi anayedai kwa sababu utaratibu unaotumika ni Force account
 
Punguani wewe, watu wanaongelea uchumi wa nchi wewe unarukia sadaka na mafungu ya kumi. Inakuuma siyo, anzisha kanisa.
Uchumi wa nchi umekua ndio maana mnashindana kuwatajirisha wwachungaji na manabii matapeli wajinga nyie, lipeni kodi sio pesa zote mnapeleka kwa matapeli, mngekuwa fungu la kumi mnawapa masikini ingesaidia kupunguza umasikini kwenye jamii,badala yake mlivyo makondoo mnawapa matapeli halafu mnaipa lawama serikali
 
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.

Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.

HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.

Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.

Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
😂😂😂😂
 
Hata ujenzi wa barabara ya Sengerema mpaka Nyehunge tokea wazindue ujenzi na Prof Mbarawa mwezi wa sita mpaka leo Mkandarasi hajaingia site!
Pia barabara ya Kahama Kakola mgodi ulishatoa hela serkali Ikazichukua ni zaidi ya mwaka sasa ujenzi hamna!
Hizo barabara zote ulizotaja ni very strategic.....serikali hii ya Samia haijali...yaani samia hajali kabisa.
 
Back
Top Bottom