Lisu tusaidie kupaza sauti dunia ije kutuokoa maana tutaisha kama Bubonic plague iliyoua watu 63 milioni in Europe alone!Jiwe must go.
Mabibi na mabwana kupeana ulio ukweli hata kama ni mchungu vipi ni jambo la msingi sana..
Ana kiburi kisicho na maana huyu mtu na hakika atatuponzaLisu tusaidie kupaza sauti dunia ije kutuokoa maana tutaisha kama Bubonic plague iliyoua watu 63 milioni in Europe alone!
Rwanda, South Africa, Kenya nk wamepata hayo matamko. Huu ni upepo utapita kama yalivyopita mengine. USIOGOPE WALA USIKUZE MAMBO. MUNGU HAPENDI! ISIJE HASIRA YAKE IKAWAKA JUU YAKONimeona matamko ya Wamarekani, Waingereza na sasa wajapan. Juzi waangola wametuonesha kuwa na afrika siye hatukaribishwi na yeyote.
Isipokuwa Tanzania na Burundi nchi zote zimekubali kupokea chanjo ya Covid19....
Mwambie aelewe!We tulia kwenu, unataka uwe mgeni wa nani? Huko unakokutaja ndo mambo mabaya kwa korona afadhali na kweli...!
Hata mimi nimeshangaa!Imeshangata family members au jirani zako wangapi? Labda tuanzie hapo. Nadhani kila mtu aanzie kwa immediate family members na sio hadithi za sijui mtaani wanasema nini, kama mtaani ipo na familia zetu pia zipo huko huko mtaani so hawawezi ugua au kufa bila sisi kujua.
huyu muungo sindio alisema tz hakuna "kolona"?!.Hapana usichukue tahadhali yeyote subiri tamko la Magufuli.
Nina usongo kinoma. Mbona si kila mtu na lwake?Survival for your fitness ...
Uzuri wa Corona haiui watoto bali inatufyekelea mbali sisi wazee watunga maamuzi - sawa wacha tufwe ili tutie adabu !! na uzuri mwingine wa corona inafwagia hadi maboss - tutaelewana tu mwisho wa safari hii.